Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

Form 4 ya 2008 na 2012 ipi ilikuwa ya moto?

Attachments

  • download.jpeg
    download.jpeg
    7.3 KB · Views: 19
2008 nimemaliza form 4 azania secondary. Nakumbuka pepa la hesabu lilivuja likabandikwa mpaka kwenye nguzo ya umeme mchikichini. Ilifika hatua ikabidi serikali ihailishe mtihani wa hesabu. Nilifanya maangamizi mazito sana form 5 nikapangiwa EGM mzumbe morogoro
Chuo ukasoma nini?
 
2008 nimemaliza form 4 azania secondary. Nakumbuka pepa la hesabu lilivuja likabandikwa mpaka kwenye nguzo ya umeme mchikichini. Ilifika hatua ikabidi serikali ihailishe mtihani wa hesabu. Nilifanya maangamizi mazito sana form 5 nikapangiwa EGM mzumbe morogoro
We tunajua ni Kichwa
 
Back
Top Bottom