Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Yaani mtu anagushi kwenye 20,000 anaandika 120,000tshs mambo ya kizamani kweli.
Inaonekana umu wizarani kuna vilaza wa hali ya juu kama mtu anastaili kulipwa posho 20,000tshs alafu wewe umeongeza 1 ivi auditors huwa wanakagua nini?
Huyu CAG hakuliona hili la wazi kabisa.
CAG umeniangusha nilikuwa nakuamini sana
Inaonekana umu wizarani kuna vilaza wa hali ya juu kama mtu anastaili kulipwa posho 20,000tshs alafu wewe umeongeza 1 ivi auditors huwa wanakagua nini?
Huyu CAG hakuliona hili la wazi kabisa.
CAG umeniangusha nilikuwa nakuamini sana