Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,803
- 17,416
Yes, wengi wanayo Trading Knowledge sio mbaya na Ni nzuri. Na ndio kiingilio Cha kuingia kwenye cfd industry Ila hawana what it takes to take money out the market. Wengi baada ya kusoma Sana yaani sana. Wanapita kila website,mtandao,groups zote za social media,PDF zote za Trading,na YouTube channels za Trading and investing.huwa nawachora sana wanaojiita maguru na kuwa na vimbele mbele vya kufundisha beginers, wameshindwa kupata hela sokoni kazi yao imekuwa utapeli tu...washenzi sana hao
3-5 years kwa kusoma kila siku ndani ya masaa yasiyopungua 10-14?Yes, wengi wanayo Trading Knowledge sio mbaya na Ni nzuri. Na ndio kiingilio Cha kuingia kwenye cfd industry Ila hawana what it takes to take money out the market. Wengi baada ya kusoma Sana yaani sana. Wanapita kila website,mtandao,groups zote za social media,PDF zote za Trading,na YouTube channels za Trading and investing.
Hapa anatumia si chini ya miaka 3-5 Kama yupo serious kila siku anafanya kitu ichi ichi kwa masaa yasiyopungua 10-14 kwa siku.
Sasa akishamaliza anajishangaa mbona bado hapigi hela.
So wengine wanaacha ama wanaanza safari mpya Tena itakayochukua si chini ya 3-5 yrs kutegemeana na uelewa wake.ila hii 3yrs inaanza kuanzia Ile phase ya kwanza ya knowledge quest.
Hapa wanaoianza Safari hii huwa Ni 10% ya wote walioanza safari.
Mana wanaoingia kwenye knowledge quest huwa Ni around 40% ya walioanza.
So hao 10% wanaoendelea kutafuta what it takes to take money out of the market wanafanikisha only 5% Basi.
Kwanza 60% huwa wanaachia pale wanapojua kuwa cfd Ni ngumu na inabidi usome mno.
Hawa 5% and 35 wanaachia njiani wanakuja kufundisha kuandika vitabu kuuza signals na ku manage account nadhani. Ila Ile 5% inakamua hela kimya kimya.
Hawa wapo kimya na hawashawishi mtu kuingia katika Trading Mana wanajua mziki wake ulivyo ,you can lose everything that you own.
Kama mie Kuna muda nilitaka kutia dola $20k nadhani ningejinyonga. Muda huo nilikuwa na a half Trading knowledge. Sema nikajiuliza mbona kwenye demo yenyewe sipo profitable ndio jibu likanifanya sikuwekaga iyo hela. Nadhani ningekuwa nimeitesa familia yangu mahala pa kulala na kupata chakula.
You've the Trading knowledge mzuri kabisa ambayo kila mtu anayo Ila huna what takes to take money out of the market na ndio Mana umeona Bora ufundishe.yaani kuchukua hela from sokoni bana zinakuwaga za Moto yaani unaziona Ila kuzichukua Ni mbinde kinyama so utakimbilia kufundisha strategy,rm,ta ,fa na mind utagusia kwa juu juu mno. Ndio Mana kwenye game hii Kuna educators wengi mno kuliko traders wenyewe Ni sawa huwa nikienda stendi ya mabasi nawaambia wale wapiga debe kuwa mbona nyie wenyewe Ni wengi kuliko abiria ,yaani mkiamua kusafiri wenyewe mnajaza mabasi yote haya na mnabakia wengine mmekosa usafiri
Yaani umemeza PDF zA kutosha so una feel you're likely to succeed Ila you can't. You just smell it but is very difficult to reach there what I know. Watauza signals,VIP subscription program.yaani bana trading inafurahisha kinyama.
We read and get education of Trading from high grade suckers of this game.
Ukiulizwa your 5yrs Trading history utaanza kutetea kuwa sio lazima nicheze mpira kufundisha mpira ama sio lazima niwe car racer ili kujua anahitaji gari ya Aina gani.
Haya bana hii makitu Ni ya Moto mzazi nadhani imeshakulia hela so upo unapooza
duu hadi mku unatafuta commisionAchana na kudeposit pesa kila mwezi kwa broker, Nunua prop firm account kwa ada ndogo and manage large capital, join with
Funded engineer https://dashboard.fundedengineer.com/evaluation?affiliateid=483
Pia jiunge group Lao la Discord ukajionee mwenyewe, usije sema utapeli
Join the Funded Engineer Discord Server!
The Official Funded Engineer Discord Server! | 19675 membersdiscord.gg
Can you tell me how long does it take to Succeed Trading?3-5 years kwa kusoma kila siku ndani ya masaa yasiyopungua 10-14?
Kusoma ndani masaa 10-14 kila siku kwa miaka 3-5 unakuwa unasoma nini, na unakuwa na kichwa chenye uwezo mdogo kiasi gani?
Labda uwe na kichwa Mb128, ili uingize kipya inakulazimu kufuta ulichosoma masaa kadhaa nyuma.
Hapo unatengeneza mazingira ya kuonyesha uhalali wa watu wengi kutokufanikiwa FOREX?
[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu habari?Mambo vipi wakuu mko poa?!! natumaini mko salama. Kwa wale wazee wa forex naombeni msaada ni broker yupi ambae unaweza uka-deposit na ku-withdraw pesa kupitia mitandao ya simu ya Tanzania.
Pia ni idadi ngapi ya PIPs ambayo mtu inabidi aivune kwa wiki ili mwisho wa mwisho capital yake iwe katika hali nzuri kdg...
Maisha yote yanaendeshwa Kwa mfumo wa kamali.mkuu habari?
naomba nkwambie hiyo unayofanya sio trading n gambling Mzee n kamari kwa sababu n speculation of foreign exchange market unakisia tu with no agreement or regulatory measures from risks.
unaiita forex naamini hujui forex imeundwa na hedging, arbitration na speculation (forex yako hii).
Jarbu arbitration haina loss kabisa 100%.
Kama huwezi hizo hela kalime achana na gambling af mkiambiwa mnacheza mnamind [emoji23][emoji23]mnataka muambiwe mna trade daah hii sio trade ni kamari
Mkimfuatilia vizuri huyo jamaa ni mjuaji na mpotoshaji tu, anafaa kupuuzwa3-5 years kwa kusoma kila siku ndani ya masaa yasiyopungua 10-14?
Kusoma ndani masaa 10-14 kila siku kwa miaka 3-5 unakuwa unasoma nini, na unakuwa na kichwa chenye uwezo mdogo kiasi gani?
Labda uwe na kichwa Mb128, ili uingize kipya inakulazimu kufuta ulichosoma masaa kadhaa nyuma.
Hapo unatengeneza mazingira ya kuonyesha uhalali wa watu wengi kutokufanikiwa FOREX?
[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana asilimia ndogo ya % drowdown, halafu ana bei kubwa sana kwa products zake sishauri kama huna uzoefu kwenye fx.. kwa uzoefu wangu kwenye pro firm yenye uafadhali kidogo ni liquid markets.Achana na kudeposit pesa kila mwezi kwa broker, Nunua prop firm account kwa ada ndogo and manage large capital, join with
Funded engineer https://dashboard.fundedengineer.com/evaluation?affiliateid=483
Pia jiunge group Lao la Discord ukajionee mwenyewe, usije sema utapeli
Join the Funded Engineer Discord Server!
The Official Funded Engineer Discord Server! | 19675 membersdiscord.gg
Hakuna free lunch duniani kwa basics tu sikatai...forex ni bahari, thus why umekuwa chawa wa broker kupata unafuuMuwakilishi wa Tickmill niko hapa kwa maswali yoyote karibu sana nitakusaidia.
Pia kwasasa tunatoa mafunzo ya forex bila gharama zozote
Hii ni biashara hakuna uchawa mkuuHakuna free lunch duniani kwa basics tu sikatai...forex ni bahari, thus why umekuwa chawa wa broker kupata unafuu
nafahamu biashara, hata Mimi nafanya.Hii ni biashara hakuna uchawa mkuu
Trading is quite opposite to what our brain and mindset has evolved to accomplish.3-5 years kwa kusoma kila siku ndani ya masaa yasiyopungua 10-14?
Kusoma ndani masaa 10-14 kila siku kwa miaka 3-5 unakuwa unasoma nini, na unakuwa na kichwa chenye uwezo mdogo kiasi gani?
Labda uwe na kichwa Mb128, ili uingize kipya inakulazimu kufuta ulichosoma masaa kadhaa nyuma.
Hapo unatengeneza mazingira ya kuonyesha uhalali wa watu wengi kutokufanikiwa FOREX?
[emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
njoo nikupe maelekezo na bot kausha damu bureWakuu natafuta trading robot hata la kulipia...
Forex is a mental game. Utabisha ila ni ukweli, yes ni biashara na pia ni mchezo.Forex sio mchezo ni biashara!
Kusema ukweli, ukipata system unayofanya kazi week after week sa unafundisha Ili iweje?Trading is quite opposite to what our brain and mindset has evolved to accomplish.
It's against our human nature na ndio Mana wengi wanajifanya wanakupenda wanakufundisha. Hawezani mtu anapiga hela isiyopungua 5M kwa wiki ama hata 10M kwa mwezi eti aje ajifanye anakupenda anakufundisha. Sie Ni wanyama Hakuna Cha upendo Wala Nini sema icho Ni kichaka cha wewe kuliwa ukiamini kuwa unapendwa.
Hakuna binadamu ameshakosea
unajua maana ya mchezo wewe?Forex is a mental game. Utabisha ila ni ukweli, yes ni biashara na pia ni mchezo.
Sijui niambie maana yake.unajua maana ya mchezo wewe?
Forex is a mental game. Utabisha ila ni ukweli, yes ni biashara na pia ni mchezo.