nishawai kujaribu hawa jamaa wa etoro wako real,unatikiwa uwe na uelewa kuhusu forex trade, namna ya kufanya trading, ujue trading ours na mengineyo, ni ngumu na usipokuwa makini utaliwa hela zote,jifunze hawa kwa kutumia demo account kwanza kabla ya kwenda kwenye real account,inalipa sana ukielewa namna ya kufanya trading na usiwe na internet ya kusuasua( isiwe inakatakata) at least uwe na two monitor + cpu kama unataka kufanya forex trading serious.it's too risk ukiangia kichwa kichwa inacukua muda sana kujifunza ili kuelewa baadhi ya vitu ili uwe GURU(top forex trader).