Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Forex: Biashara Haramu kwa Muislamu

Kwa hiyo unataka kutuambia kwamba,kwakuwa wazungubwaliokuleteeni ukristo wanafanya vizuri kwenye mambo ya "sodoma na gomora" hivyo imekuwa halali kwenu kuoana?
Arrant nonsense! Akili za kibabu hizi ndio zimeandika hii comment, ni wapi uliona vitabu vya miongozo vikiruhusu hicho unachokisema? Na haya mamabo ya kuoana jinsia moja unajua yameanza lini kuruhusiwa hata magharibi, kama sio miaka ya hivi karibuni?

Acha kuwa na akili za kijima
 
Anaongelea riba na speculation kama vitu haramu kwa muislamu yeyote kujihusisha navyo, anasahau kwamba hata serikali yake yenyewe tu inafanya speculation kwenye upangaji wa bajeti, anasahau kwamba hata wao wenyewe kuandama kwa mwezi huwa wana speculate.

Mkuu, mbona una jazba?? Naona umeumia sana sana, pole kaka, ila ni hiviiiii: sisi kama Waislamu tunafuata Quran na Sunna tu, hatuangalii eti kwa sababu serikali inafanya speculation basi tuache muongozo kutoka kwa Mwenyezi Mungu kisa Serikali inafanya speculation..

Anatwambia forex ni haramu wakati cha kustahajabisha huko Dubai kwenye waislamu wenyewe ndio wamejaa ma forex traders kibao tu, yaani hawa waislamu wa bongo pasua kichwa wanasemaga eti hata mpira ni haramu wakati mataifa yaliyoshika dini ya kiislamu hapa afrika kama Egypt,Algeria,Tunisia ndio yanayofanya vizuri kimpira. Hawa macomplicator kama huyu mleta mada ni wakupuuza kabisa

Mkuu unataka tufuate Dubai kisa kuna maSkyscraper sio 😀😀😀.. teh teh teh. Sisi tunafata sheria za Mwenyezi Mungu hatufuati watu kaka.. Umeelewa???
 
Endekezeni udini kwenye utafutaji mfe masikini
 
Kaka bora kufa masikini kuliko kufa TAJIRI WA MALI ZA HARAMU..
Haramu ni tafsiri tu vitabu vimeandikwa na watu tu hakuna siku ilinyesha mvua ya biblia wala quran vyote vimeandikwa na binadamu tu maisha yenyewe ya kiTz vi mishara vidogo kuishi ki halali vigumu
 
Kama unajua msaada unatokana na mali ya haramu kataa usipokee.., na kwa nini uwe mtu wa kupokea misaada?? Uislamu umesisitiza kutoa sadaka sio kupokea sadaka.., Usiwe mpokeaji bali kuwa mtoaji
swali una toa wapi kwa nan? na kama una mpa muislam mwenzio ina maana hasipokee kisa ana takiwa kutoa sio kupokea?
 
Futa kaul yako iliyojaa propaganda za kikatoliki ....et mashaykh weng hawajasoma. ..kwa takwimu gan na unajua n vipimo vipi vya kisheria kumtambua aalim ....au shaykh unakusudia wazee weng wa tz hawana elimu ....
 
Arrant nonsense! Akili za kibabu hizi ndio zimeandika hii comment, ni wapi uliona vitabu vya miongozo vikiruhusu hicho unachokisema? Na haya mamabo ya kuoana jinsia moja unajua yameanza lini kuruhusiwa hata magharibi, kama sio miaka ya hivi karibuni?

Acha kuwa na akili za kijima
Kwani mifano uliyoitoa ya Tunisia uliipata kitabu gani?
Tatizo lenu mmesoma lakini hamkuelimika
 
Riba ni kile kiasi (fedha/mali) unachopata baada ya kufanya biashara (iwe ya kukopesha ama nyingine) , tofauti na mtaji wako wa awali. Najua wengi tafsiri yenu inaishia kwenye riba ya mkopo. But mkuu, mimi naheshima imani yako.
biashara =inazaa Faida usipotoshe
 
riba ni kiasi kinachoongezeka katika mbadilishano wa bidhaa zinazofanana/kiasi ujazo ,urefu nk.
mfano kilo moja ya chumvi kwa kilo Tatu/ sukari kilo moja kwa tano/ pesa sh 3000 kwa sh.5000 bila kujali mda.
 
Doh!
Ingawa hata Saudia wanacheza sana huu mchezo..


Ila nadhani wengi watashawishika tu kama utawapa aya..
 
Assalam Alaykum,

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza, uzi huu utajikita kujaribu kutoa mwanga kwa wasiofahamu juu ya uharamu wa biashara ya forex kwa mtazamo wa sheria ya kiislamu.

Kwa siku za hivi karibuni, kumekuwa na uhamasishaji mkubwa sana juu ya biashara hii ya forex kupitia mitandao ya kijamii hapa nchini Tanzania. Waislamu wengi wa Tanzania, kwa kutofahamu dini yao ama kwa kughafilika tu, wamejikuta wakiingia kichwa kichwa kwenye biashara hii pasipo kuelewa kama ni halali ama haramu kwa mtazamo wa sheria ya dini yao.

Binafsi niliifahamu biashara hii ya forex ( na nyinginezo kadhaa) na kufungua Forex Trading Demo Account kati ya mwaka 2010 na 2011 wakati nipo chuo kikuu nje ya nchi (sitoitaja nchi), kipindi nasoma undergraduate. Kiukweli ni biashara inayolipa sana japo ni wachache sana wanaofikia daraja (level) ya kuwa washindi (in a long-term basis), wengi hupoteza pesa kwa sababu ni biashara inayohitaji elimu na uzoefu wa muda mrefu na uvumilivu wa hali ya juu na bahati pia.

Namshukuru Mwenyezi Mungu aliniongoza na nikafahamu kuwa biashara hii hainifai mimi kama muislamu na nikaweza kuachana nayo (japo iliniuma kimtindo, maana ni biashara inayolipa). Mimi nilichoangalia ni radhi za Mwenyezi Mungu kwangu hivyo nikaacha kujishughulisha na kuingiza kipato cha haramu kupitia hii biashara. Binafsi, Akhera kwangu ni muhimu kuliko Dunia.

Niliipoona biashara hii ya Forex imepamba moto nchini, nilijisikia vibaya kuona vijana wenzangu wa kiislamu wakiingia kichwa kichwa. Najua wengi ni kutojua dini tu, maana hata mimi nilikuwa vivyo hivyo mwanzoni. Hivyo niliona dhima kubwa ya kuwafikishia onyo juu ya kujihusisha na biashara hii. Nimeutua mzigo na mbele ya haki kwa Mwenyezi Mungu nitakapoulizwa nitajibu kwamba nilijitahidi kuwaeleza waislamu juu ya uharamu wa hii biashara.

Muhimu
Kuuza na kununua currencies tofauti (kama tanavyofanya kupitia Bureau de Change) si haramu kwa sheria ya kiislamu, kinacholeta uharamu kwenye biashara ya Forex ni System inayoendesha biashara yenyewe (yaani STP na ECN brokerage Systems).

Masheikh wengi wa Tanzania bahati mbaya hawana elimu ya Dunia, na hata hiyo elimu ya dini wengi wapo juu juu tu. Hivyo kamwe usijisumbue kwenda kuwauliza kuhusu Forex. Wengi hata hawajui Forex ni kitu gani kama ambavyo watanzania wengi walikuwa hawajui forex ni kitu gani.

Nakuletea Sheikh Hacene Chebbani kutoka Algeria ambaye anaishi Canada tokea mwaka 1997. Sheikh Hacene ana Masters in Islamic finance (UK, 2012) pia ana BA in Islamic Sharia kutoka Islamic University of Madinah (1993).

Nakuomba fuatilia lecture aliyoitoa Sheikh Hacene kwa wanafunzi kupitia Youtube kuhusu uharamu wa biashara ya Forex kwa mtazamo wa sheria ya kiislamu.




Sheikh anazungumzia masuala mbalimbali ya hii biashara, tafadhali ewe muislamu usiache kuitazama lecture hiyo ili upate elimu juu ya masuala hayo.

Kwa wale watakaoshindwa kuitazama, angalau ondoka na Summary ifuatayo ambayo nimeiwasilisha kwa mtindo wa maswali na majibu (Q&A) kama ifuatavyo:

Swali: Je biashara hii ina Riba??
Jawabu: Ndiyo, Kuna riba kwenye biashara ya Forex

Swali: Je, Islamic forex Trading Accounts (Swap Free Accounts) zipo na brokers wanatoa hii huduma??
Jawabu: Ndiyo zipo. Forex brokers karibia wote duniani wanatoa huduma ya account maalum kwa ajili ya waislamu tu (Islamic Forex Trading Accounts).

Swali: Je, Islamic Trading Accounts zinahalalisha biashara ya forex kwa mtazamo wa Sheria ya kiislamu?
Jawabu: Hapana, Islamic Trading Accounts bado hazihalalishi biashara hii ya Forex kwa waislamu.

Pia Sheikh Hacene amezungumzia masuala mengine kama Margin, Leverage na nidhamu ya ukopeshaji/ukopeshwaji wa mtaji.

Nimetua dhima hii na kilichobaki ni juu yako wewe muislamu, chagua kutii ama kukaidi, Dunia ama Akhera. Hilo ni juu yako.

Namshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu

Ahsante.

ulikuwa wapi tangu 2010 mpaka 2017...umetengeneza hela muda wote ule na wala hukuwahi kuja na hoja yoyote ile...
watu walisha amka na gari limeshachanganya tena speed 4G..
FOREX IS NOT FOR EVERYONE
Assalam Alaykum,

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza, uzi huu utajikita kujaribu kutoa mwanga kwa wasiofahamu juu ya uharamu wa biashara ya forex kwa mtazamo wa sheria ya kiislamu.

Kwa siku za hivi karibuni, kumekuwa na uhamasishaji mkubwa sana juu ya biashara hii ya forex kupitia mitandao ya kijamii hapa nchini Tanzania. Waislamu wengi wa Tanzania, kwa kutofahamu dini yao ama kwa kughafilika tu, wamejikuta wakiingia kichwa kichwa kwenye biashara hii pasipo kuelewa kama ni halali ama haramu kwa mtazamo wa sheria ya dini yao.

Binafsi niliifahamu biashara hii ya forex ( na nyinginezo kadhaa) na kufungua Forex Trading Demo Account kati ya mwaka 2010 na 2011 wakati nipo chuo kikuu nje ya nchi (sitoitaja nchi), kipindi nasoma undergraduate. Kiukweli ni biashara inayolipa sana japo ni wachache sana wanaofikia daraja (level) ya kuwa washindi (in a long-term basis), wengi hupoteza pesa kwa sababu ni biashara inayohitaji elimu na uzoefu wa muda mrefu na uvumilivu wa hali ya juu na bahati pia.

Namshukuru Mwenyezi Mungu aliniongoza na nikafahamu kuwa biashara hii hainifai mimi kama muislamu na nikaweza kuachana nayo (japo iliniuma kimtindo, maana ni biashara inayolipa). Mimi nilichoangalia ni radhi za Mwenyezi Mungu kwangu hivyo nikaacha kujishughulisha na kuingiza kipato cha haramu kupitia hii biashara. Binafsi, Akhera kwangu ni muhimu kuliko Dunia.

Niliipoona biashara hii ya Forex imepamba moto nchini, nilijisikia vibaya kuona vijana wenzangu wa kiislamu wakiingia kichwa kichwa. Najua wengi ni kutojua dini tu, maana hata mimi nilikuwa vivyo hivyo mwanzoni. Hivyo niliona dhima kubwa ya kuwafikishia onyo juu ya kujihusisha na biashara hii. Nimeutua mzigo na mbele ya haki kwa Mwenyezi Mungu nitakapoulizwa nitajibu kwamba nilijitahidi kuwaeleza waislamu juu ya uharamu wa hii biashara.

Muhimu
Kuuza na kununua currencies tofauti (kama tanavyofanya kupitia Bureau de Change) si haramu kwa sheria ya kiislamu, kinacholeta uharamu kwenye biashara ya Forex ni System inayoendesha biashara yenyewe (yaani STP na ECN brokerage Systems).

Masheikh wengi wa Tanzania bahati mbaya hawana elimu ya Dunia, na hata hiyo elimu ya dini wengi wapo juu juu tu. Hivyo kamwe usijisumbue kwenda kuwauliza kuhusu Forex. Wengi hata hawajui Forex ni kitu gani kama ambavyo watanzania wengi walikuwa hawajui forex ni kitu gani.

Nakuletea Sheikh Hacene Chebbani kutoka Algeria ambaye anaishi Canada tokea mwaka 1997. Sheikh Hacene ana Masters in Islamic finance (UK, 2012) pia ana BA in Islamic Sharia kutoka Islamic University of Madinah (1993).

Nakuomba fuatilia lecture aliyoitoa Sheikh Hacene kwa wanafunzi kupitia Youtube kuhusu uharamu wa biashara ya Forex kwa mtazamo wa sheria ya kiislamu.




Sheikh anazungumzia masuala mbalimbali ya hii biashara, tafadhali ewe muislamu usiache kuitazama lecture hiyo ili upate elimu juu ya masuala hayo.

Kwa wale watakaoshindwa kuitazama, angalau ondoka na Summary ifuatayo ambayo nimeiwasilisha kwa mtindo wa maswali na majibu (Q&A) kama ifuatavyo:

Swali: Je biashara hii ina Riba??
Jawabu: Ndiyo, Kuna riba kwenye biashara ya Forex

Swali: Je, Islamic forex Trading Accounts (Swap Free Accounts) zipo na brokers wanatoa hii huduma??
Jawabu: Ndiyo zipo. Forex brokers karibia wote duniani wanatoa huduma ya account maalum kwa ajili ya waislamu tu (Islamic Forex Trading Accounts).

Swali: Je, Islamic Trading Accounts zinahalalisha biashara ya forex kwa mtazamo wa Sheria ya kiislamu?
Jawabu: Hapana, Islamic Trading Accounts bado hazihalalishi biashara hii ya Forex kwa waislamu.

Pia Sheikh Hacene amezungumzia masuala mengine kama Margin, Leverage na nidhamu ya ukopeshaji/ukopeshwaji wa mtaji.

Nimetua dhima hii na kilichobaki ni juu yako wewe muislamu, chagua kutii ama kukaidi, Dunia ama Akhera. Hilo ni juu yako.

Namshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu

Ahsante.

ulikuwa wapi tangu 2010 mpaka 2017..!
je hiyo faida ulioipata kwenye forex tangu 2010 mpaka ulivyo acha uliipeleka wapi?
SIZITAKI MBICHI HIZI...😉😉😉😉😉
 
Katika maisha ogopa biashara ya kumwaga damu, kuiba, kudhulumu. Tofauti na hapo ingiza pesa tu. Kama ni uharamu hata pesa yenyewe ni haramu
 
ulikuwa wapi tangu 2010 mpaka 2017...umetengeneza hela muda wote ule na wala hukuwahi kuja na hoja yoyote ile...
watu walisha amka na gari limeshachanganya tena speed 4G..
FOREX IS NOT FOR EVERYONE

ulikuwa wapi tangu 2010 mpaka 2017..!
je hiyo faida ulioipata kwenye forex tangu 2010 mpaka ulivyo acha uliipeleka wapi?
SIZITAKI MBICHI HIZI...😉😉😉😉😉

Duniani

ulikuwa wapi tangu 2010 mpaka 2017...umetengeneza hela muda wote ule na wala hukuwahi kuja na hoja yoyote ile...
watu walisha amka na gari limeshachanganya tena speed 4G..
FOREX IS NOT FOR EVERYONE

ulikuwa wapi tangu 2010 mpaka 2017..!
je hiyo faida ulioipata kwenye forex tangu 2010 mpaka ulivyo acha uliipeleka wapi?
SIZITAKI MBICHI HIZI...😉😉😉😉😉

Yep.., Certainly not for Muslims 🙂🙂
 
Katika maisha ogopa biashara ya kumwaga damu, kuiba, kudhulumu. Tofauti na hapo ingiza pesa tu. Kama ni uharamu hata pesa yenyewe ni haramu

Hiyo ni dini/imani yako... NOT Islam
 
Sawa ndugu zangu waislam... Vp mikopo ya vyuo vikuu maana wanadai usipoanza kulipa baada ya mwaka mmoja tuuu unavyo maliza chuo kuna kariba pale kanapenyezwa... Na ukichelewa zaidi wana double.. Je! Mikopo nayo ya vyuo vikuu ndugu zangu waislam tuiache?
Interesting!
 
Kuna baadhi yetu wanaziabudu zaidi dini kuliko wanavyomuabudu Mwenyezi Mungu.
 
Ustadh unsipinga forex kwa sababu ya ribs wakat wee mwnyw Una mkopo crdb kwenye riba
 
Back
Top Bottom