Msaada kwa wanaoifahamu, waliowahi kuendesha au hata kumiliki hii gari aina ya FORD EVEREST TITANIUM 2022.
Kuna rafiki yangu anataka kununua hiyo gari 0 km anaulizia;
1. Upatikanaji spea hapa Tanzania
2. Uvumilivu wa barabara za rafu, anakaa dar ila atakuwa anaenda makete mara kwa mara
3. Speed barabarani
4. Durability na comfortability
View attachment 2639963