Tukio lililotokea hivi karibuni la serikali kufungia kituo cha tiba za asili cha Dr Mwaka na wengine wachache ni mwendelezo wa vita ya kimaslahi kati ya tiba asilia na tiba za kimagharibi kwa muono mpana zaidi,lakini kwa kwa muono hafifu mahsusi kwa Tanzania unaweza kusema ni vita kati ya wanufaika wachache kutoka katika hospitali za serikali na wale wa tiba asilia.
Kuna msemo unasema,"if a story doesn't make sense,just follow the money and you will find the answer".Vivyo hivyo,kutokana na mtiririko wa matukio ya kufungiwa kwa kituo cha tiba asilia cha Dr Mwaka na wenzake,ukifuatilia kwa undani utagundua kwamba suala la maslahi binafsi ya kifedha linahusika moja kwa moja.Sababu zinazotolewa kwamba ndio kisingizio cha kufungiwa kwa vituo hivi hazina mashiko hata kidogo,lakini bado mwisho wa siku uamuzi wa serikali unabaki pale pale,KUFUNGIA TU.
Kwa mtazamo mpana,niliwahi kusema humuhumu kwenye jukwaa hili kwamba vita kati ya tiba asilia na tiba za kimagharibi ilianza zamani sana,werevu walinielewa kwa haraka sana,lakini wale ambao kwenye ubongo wao hakuna msamiati unaoitwa 'kujiuliza/kudadisi' walipinga papo hapo.Vita hii ilianza kwa uchache miaka zaidi 100 iliyopita.Pengine hata baadhi ya madaktari wa tiba asilia hawaijui vita hii,ndio maana wengine wanadhani kwamba chombo cha serikali(Baraza la Tiba Asilia na Tiba Mbadala) kina kazi ya kuendeleza na kusimamia tiba asilia nchini,fikra hizo si sahihi kabisa.Chombo hiko kingekuwa na kazi hiyo basi haya yote ya kufungia vituo vya tiba asilia kwa sababu zisizo na mashiko yasingetokea.
Nisingependa kujadili historia hii ya vita kati ya tiba asilia na tiba za kimagharibi ilikuwaje kwa undani,maana ni historia pana sana na ndani yake kuna mambo yasiyo na mantiki hata kidogo lakini ndio hayohayo mambo yanayotuua leo hii lakini sisi tunayashabikia pasipo kujua ukweli ulivyo,hii ni hatari sana.Yaani tunajiua huku tunashangilia kutokana na upumbavu tu wa kijinga.
Nina uhakika kuna watu watakurupuka na kuanza kupinga haya ninayosema bila hata kuhoji,hili si geni kwangu,kwa kuwa naijua jamii yetu ya kitanzania jinsi ilivyo.
Watu wamepumbazwa akili mpaka wanaona kwamba tiba asili kuitwa jina la tiba mbadala ni sahihi tu,na tiba za kimagharibi (ambazo ni sumu) kuitwa tiba namba moja ndio sahihi.Hata ukifuatilia vitabu vya dini ambamo ndani kwavyo kumeandikwa tiba zilizokuwa zikitumika kipindi hiko,utaona kwamba tiba asilia ndio zilikuwa tiba namba moja na zile tiba za sumu zilipingwa vikali,sina haja ya kutoa aya yoyote hapa,kwa mtu yeyote anayefuatilia vitabu vya dini analijua hili.Pia kisayansi tiba asilia ndio tiba namba moja,hii unaweza kuilezea kwa mfano mmoja tu kwamba,mtu akila vyakula bora asilia kinga yake itakuwa juu sana na kumlinda asipate magonjwa sugu yasiyoambukizwa na yale yanayoambukizwa,sasa akienda tofauti na asili ilivyo hapo ndipo atakapoanza kuugua.Ingawa pia kuna tiba hizohizo za asili unaweza kupona kabisa kama utatumia pale utakapoanza kuugua,lakini wengine wasiojua hukimbilia kula dawa za kimagharibi.Hivyo basi,ukiona mtu anaugua ujue kwanza kuna tatizo la upungufu wa mambo fulani yanayohitajika kwenye mwili wake au kuna ongezeko la mambo fulani yasiyohitajika kwenye mwili wake,hii inatokana na mtu kushindwa kwanza kufuata taratibu nzuri za maisha au kotokula vyakula bora vya asili.Sasa ukifikiri kwa undani huwezi kuita tiba za asili kwamba ni tiba mbadala.
Kama hata kati ya wagonjwa 20 walioshindikana kutibiwa na tiba za kimagharibi,5 kati yao wakaweza kupona kwa kutumia tiba asilia halafu bado chombo husika kinafungia vituo vya tiba asilia kwa sababu za kipuuzi tu,ujue hapo kuna tatizo,na tatizo hilo lazima litakuwa linahusiana na maslahi ya kifedha tu,fanya uchunguzi wako katika hili.Dr Mwaka anasema kwamba yeye anaponya wagonjwa 7 kati ya 10 walioshindikana katika tiba za kimagharibi,lakini ukweli ni kwamba,hata angefanikiwa kutibu mgonjwa 1 tu kati ya hao ilibidi serikali impongeze kwa hilo,lakini kinachofanyika sasa ni kinyume chake.Hata Dr Mwaka akitoa vithibitisho vya hiyo kazi ya kuponya aliyoifanya ni kazi bure tu,labda wamwachie kwa ujanja ujanja kutokana na aibu waliyonayo tu.
Hili linalotokea sasa kwa Dr Mwaka na wenzake nalifananisha na yale matukio yaliyowatokea waganga wa tiba asilia katika kipindi kilichoanzia miaka ya 1920 ambao waliweza kutibu ugonjwa wa saratani ambao tiba za magharibi zilishindwa.Madaktari hao walipata msukosuko mkubwa kutoka kwenye vyombo vya serikali yao kipindi kile,wengine walifungiwa vituo vyao kama inavyofanyika sasa kwa akina Dr Mwaka,wengine walifungwa kabisa gerezani kinguvu,wengine walichomewa moto vifaa vyao na kufanyiwa upuuzi unaofanana na huo.
Hapa ndipo hasa kile chombo kinachojishughulisha na kutetea haki za binadamu ndio mojawapo ya jambo muhimu sana kulishughulikia kama kweli wao wako makini na kweli wanafanya kazi kwa wito huo.Lakini kwa kuwa najua siku hizi kila kitu kinakwenda kinyume,hili si rahisi kutokea,maana sasa hivi mwizi ndiye anayesujudiwa,vyombo vya haki za binadamu ndivyo vinavyodidimiza haki hizo,viongozi wa dini ndio wanaoharibu maisha ya kiroho ya watu,vyuo vikuu ndivyo vinaharibu elimu,wanasheria ndio wanaodhulumu haki za watu,vyombo vya habari ndivyo vinavyoharibu habari za kweli,na madaktari(MDs) ndio wanaoharibu afya za watu.
Pamoja na hayo yote,najua bado watu hawaoni kama kuna jambo muhimu hapa la kutetea kuhusu afya zao,najua kuna watu wataleta ushabiki na hisia za kipuuzi.Uamuzi huu wa serikali unapaswa kupingwa na kila mtanzania ili kulazimisha chombo husika cha serikali kiache kutoa maamuzi ya kukurupuka kama haya.Mbona kipindi kile cha babu wa loliondo hawakutoa maamuzi kama haya?Au kwasababu kuna viongozi wa serikali nao walihudhuria kwa yule babu?Kama suala ni wagonjwa kutokupona,mbona Muhimbili,Ocean Road nk wanakufa wagonjwa wengi sana?Kama suala ni kutokuwa na sifa fulani,mbona kuna mambo ya kipuuzi sana kama vile wagonjwa wanaofanyiwa upasuaji kwenye kiuongo kisichohusika pale Muhimbili?
Ushauri wangu kwa madaktari wa tiba asilia:
1.Masuala kama haya ni rahisi sana kushinda kesi zake kama mtaenda mahakamani,narudia,ni rahisi sana,labda mahakimu wawe wameshawekwa sawa tayari na chombo husika cha serikali kilichohusika kuwafungia.Lakini historia inaonesha kwamba kesi kama hizi madaktari wa tiba asilia huwa wanashinda mara zote kama haki itafuatwa.
2.Mimi najua kwamba cancer/saratani,kisukari na hata ile wanayoita HIV/AIDS(ambao si ugonjwa bali ni kasumba tu inayosababishwa na madara ya ARVs baada ya kuzitumia kwa muda mrefu),yote haya yanatibika vizuri kabisa na mtu anapona na kuendelea na maisha yake.Lakini watu hawayajui haya kwa kuwa vyombo vya habari vinaharibu habari.Ushauri wangu kwenu ni kwamba, msiseme hadharani kwamba mna uwezo wa kutibu mambo haya kwa kuwa mkisema hivyo mtakuwa mmeingilia maslahi ya watu,na watu hawa ni wakubwa sana na hamuwezi kupambana nao,ninyi fanyeni tiba zenu za mambo haya kimyakimya tu ili msikumbane na matatizo makubwa kutoka kwa hawa watu.
3.Kwa kuwa vita hii haitaisha leo wala kesho,basi kila mnapotibu jiwekeeni vithibitisho vya pathology katika kesi zote mnazofanikiwa kuzitibu ili mje kuzitumia mahakamani hapo baadaye kuwashinda hawa wadhalimu.Msifikiri kwamba vita hii itaisha leo,sasa jiwekeeni pathological proofs ili zije ziwalinde hapo baadaye watakapojitokeza tena kuwasumbua.
4.Jifunzeni uvumilivu,kwa maana hii ndio dunia tunayoishi sasa,mambo yote yanakwenda kinyume.Undeni chama chenu cha wale ambao ndio mnadhani mnafuatwa fuatwa sana na serikali, na mpange siku za kukutana kujadili jinsi ya kujilinda na watu wasiowatakia mema katika fani zenu.
Words of wisdom 1: "There is no profit in the western medicine if you are alive but healthy or you are dead,the profit only comes when you are alive but always sick".Think about cancer,diabetes and the like.
Words of wisdom 2: "If you want to get a lot of people very angry at you,and you are in health profession,it is fairly simple,just begin to cure 'incurable diseases' "
Fuatilieni hapa vita moja kati ya tiba za kimagharibi na tiba asilia:
Aksanteni.
Kuna msemo unasema,"if a story doesn't make sense,just follow the money and you will find the answer".Vivyo hivyo,kutokana na mtiririko wa matukio ya kufungiwa kwa kituo cha tiba asilia cha Dr Mwaka na wenzake,ukifuatilia kwa undani utagundua kwamba suala la maslahi binafsi ya kifedha linahusika moja kwa moja.Sababu zinazotolewa kwamba ndio kisingizio cha kufungiwa kwa vituo hivi hazina mashiko hata kidogo,lakini bado mwisho wa siku uamuzi wa serikali unabaki pale pale,KUFUNGIA TU.
Kwa mtazamo mpana,niliwahi kusema humuhumu kwenye jukwaa hili kwamba vita kati ya tiba asilia na tiba za kimagharibi ilianza zamani sana,werevu walinielewa kwa haraka sana,lakini wale ambao kwenye ubongo wao hakuna msamiati unaoitwa 'kujiuliza/kudadisi' walipinga papo hapo.Vita hii ilianza kwa uchache miaka zaidi 100 iliyopita.Pengine hata baadhi ya madaktari wa tiba asilia hawaijui vita hii,ndio maana wengine wanadhani kwamba chombo cha serikali(Baraza la Tiba Asilia na Tiba Mbadala) kina kazi ya kuendeleza na kusimamia tiba asilia nchini,fikra hizo si sahihi kabisa.Chombo hiko kingekuwa na kazi hiyo basi haya yote ya kufungia vituo vya tiba asilia kwa sababu zisizo na mashiko yasingetokea.
Nisingependa kujadili historia hii ya vita kati ya tiba asilia na tiba za kimagharibi ilikuwaje kwa undani,maana ni historia pana sana na ndani yake kuna mambo yasiyo na mantiki hata kidogo lakini ndio hayohayo mambo yanayotuua leo hii lakini sisi tunayashabikia pasipo kujua ukweli ulivyo,hii ni hatari sana.Yaani tunajiua huku tunashangilia kutokana na upumbavu tu wa kijinga.
Nina uhakika kuna watu watakurupuka na kuanza kupinga haya ninayosema bila hata kuhoji,hili si geni kwangu,kwa kuwa naijua jamii yetu ya kitanzania jinsi ilivyo.
Watu wamepumbazwa akili mpaka wanaona kwamba tiba asili kuitwa jina la tiba mbadala ni sahihi tu,na tiba za kimagharibi (ambazo ni sumu) kuitwa tiba namba moja ndio sahihi.Hata ukifuatilia vitabu vya dini ambamo ndani kwavyo kumeandikwa tiba zilizokuwa zikitumika kipindi hiko,utaona kwamba tiba asilia ndio zilikuwa tiba namba moja na zile tiba za sumu zilipingwa vikali,sina haja ya kutoa aya yoyote hapa,kwa mtu yeyote anayefuatilia vitabu vya dini analijua hili.Pia kisayansi tiba asilia ndio tiba namba moja,hii unaweza kuilezea kwa mfano mmoja tu kwamba,mtu akila vyakula bora asilia kinga yake itakuwa juu sana na kumlinda asipate magonjwa sugu yasiyoambukizwa na yale yanayoambukizwa,sasa akienda tofauti na asili ilivyo hapo ndipo atakapoanza kuugua.Ingawa pia kuna tiba hizohizo za asili unaweza kupona kabisa kama utatumia pale utakapoanza kuugua,lakini wengine wasiojua hukimbilia kula dawa za kimagharibi.Hivyo basi,ukiona mtu anaugua ujue kwanza kuna tatizo la upungufu wa mambo fulani yanayohitajika kwenye mwili wake au kuna ongezeko la mambo fulani yasiyohitajika kwenye mwili wake,hii inatokana na mtu kushindwa kwanza kufuata taratibu nzuri za maisha au kotokula vyakula bora vya asili.Sasa ukifikiri kwa undani huwezi kuita tiba za asili kwamba ni tiba mbadala.
Kama hata kati ya wagonjwa 20 walioshindikana kutibiwa na tiba za kimagharibi,5 kati yao wakaweza kupona kwa kutumia tiba asilia halafu bado chombo husika kinafungia vituo vya tiba asilia kwa sababu za kipuuzi tu,ujue hapo kuna tatizo,na tatizo hilo lazima litakuwa linahusiana na maslahi ya kifedha tu,fanya uchunguzi wako katika hili.Dr Mwaka anasema kwamba yeye anaponya wagonjwa 7 kati ya 10 walioshindikana katika tiba za kimagharibi,lakini ukweli ni kwamba,hata angefanikiwa kutibu mgonjwa 1 tu kati ya hao ilibidi serikali impongeze kwa hilo,lakini kinachofanyika sasa ni kinyume chake.Hata Dr Mwaka akitoa vithibitisho vya hiyo kazi ya kuponya aliyoifanya ni kazi bure tu,labda wamwachie kwa ujanja ujanja kutokana na aibu waliyonayo tu.
Hili linalotokea sasa kwa Dr Mwaka na wenzake nalifananisha na yale matukio yaliyowatokea waganga wa tiba asilia katika kipindi kilichoanzia miaka ya 1920 ambao waliweza kutibu ugonjwa wa saratani ambao tiba za magharibi zilishindwa.Madaktari hao walipata msukosuko mkubwa kutoka kwenye vyombo vya serikali yao kipindi kile,wengine walifungiwa vituo vyao kama inavyofanyika sasa kwa akina Dr Mwaka,wengine walifungwa kabisa gerezani kinguvu,wengine walichomewa moto vifaa vyao na kufanyiwa upuuzi unaofanana na huo.
Hapa ndipo hasa kile chombo kinachojishughulisha na kutetea haki za binadamu ndio mojawapo ya jambo muhimu sana kulishughulikia kama kweli wao wako makini na kweli wanafanya kazi kwa wito huo.Lakini kwa kuwa najua siku hizi kila kitu kinakwenda kinyume,hili si rahisi kutokea,maana sasa hivi mwizi ndiye anayesujudiwa,vyombo vya haki za binadamu ndivyo vinavyodidimiza haki hizo,viongozi wa dini ndio wanaoharibu maisha ya kiroho ya watu,vyuo vikuu ndivyo vinaharibu elimu,wanasheria ndio wanaodhulumu haki za watu,vyombo vya habari ndivyo vinavyoharibu habari za kweli,na madaktari(MDs) ndio wanaoharibu afya za watu.
Pamoja na hayo yote,najua bado watu hawaoni kama kuna jambo muhimu hapa la kutetea kuhusu afya zao,najua kuna watu wataleta ushabiki na hisia za kipuuzi.Uamuzi huu wa serikali unapaswa kupingwa na kila mtanzania ili kulazimisha chombo husika cha serikali kiache kutoa maamuzi ya kukurupuka kama haya.Mbona kipindi kile cha babu wa loliondo hawakutoa maamuzi kama haya?Au kwasababu kuna viongozi wa serikali nao walihudhuria kwa yule babu?Kama suala ni wagonjwa kutokupona,mbona Muhimbili,Ocean Road nk wanakufa wagonjwa wengi sana?Kama suala ni kutokuwa na sifa fulani,mbona kuna mambo ya kipuuzi sana kama vile wagonjwa wanaofanyiwa upasuaji kwenye kiuongo kisichohusika pale Muhimbili?
Ushauri wangu kwa madaktari wa tiba asilia:
1.Masuala kama haya ni rahisi sana kushinda kesi zake kama mtaenda mahakamani,narudia,ni rahisi sana,labda mahakimu wawe wameshawekwa sawa tayari na chombo husika cha serikali kilichohusika kuwafungia.Lakini historia inaonesha kwamba kesi kama hizi madaktari wa tiba asilia huwa wanashinda mara zote kama haki itafuatwa.
2.Mimi najua kwamba cancer/saratani,kisukari na hata ile wanayoita HIV/AIDS(ambao si ugonjwa bali ni kasumba tu inayosababishwa na madara ya ARVs baada ya kuzitumia kwa muda mrefu),yote haya yanatibika vizuri kabisa na mtu anapona na kuendelea na maisha yake.Lakini watu hawayajui haya kwa kuwa vyombo vya habari vinaharibu habari.Ushauri wangu kwenu ni kwamba, msiseme hadharani kwamba mna uwezo wa kutibu mambo haya kwa kuwa mkisema hivyo mtakuwa mmeingilia maslahi ya watu,na watu hawa ni wakubwa sana na hamuwezi kupambana nao,ninyi fanyeni tiba zenu za mambo haya kimyakimya tu ili msikumbane na matatizo makubwa kutoka kwa hawa watu.
3.Kwa kuwa vita hii haitaisha leo wala kesho,basi kila mnapotibu jiwekeeni vithibitisho vya pathology katika kesi zote mnazofanikiwa kuzitibu ili mje kuzitumia mahakamani hapo baadaye kuwashinda hawa wadhalimu.Msifikiri kwamba vita hii itaisha leo,sasa jiwekeeni pathological proofs ili zije ziwalinde hapo baadaye watakapojitokeza tena kuwasumbua.
4.Jifunzeni uvumilivu,kwa maana hii ndio dunia tunayoishi sasa,mambo yote yanakwenda kinyume.Undeni chama chenu cha wale ambao ndio mnadhani mnafuatwa fuatwa sana na serikali, na mpange siku za kukutana kujadili jinsi ya kujilinda na watu wasiowatakia mema katika fani zenu.
Words of wisdom 1: "There is no profit in the western medicine if you are alive but healthy or you are dead,the profit only comes when you are alive but always sick".Think about cancer,diabetes and the like.
Words of wisdom 2: "If you want to get a lot of people very angry at you,and you are in health profession,it is fairly simple,just begin to cure 'incurable diseases' "
Fuatilieni hapa vita moja kati ya tiba za kimagharibi na tiba asilia:
Aksanteni.