Official mkapa
Member
- Dec 10, 2020
- 18
- 11
Hao Forbes naona km hawana ripoti za bakhresa vizuri. Kuna sehem nlipita pita uko nkaona bakhresa ana km $10.6 billion.in short hata uyo moo hawez mfikia bakhresa.
Ndio kimsingi moo anazidiwa mbali sana na bakhresaHumjui bakhresa ni hodari wa kuficha mengi yake hilo lijue tutabishana hapa bure Forbes hawakosei mbn hawamueki bin salman au alnahyan ama tamim althani kama matajiri wa dunia? Huwezi kuwaelewa matajiri wa kiarbu na wa kihindi tz kama wategemea Forbes wengi wao wa nafanya makusudi kutodeclear baadhi ya assets zao
Tena ni wa dini moja tuu !!!Unataka kusema mbongo ni mengi tu.
Sawa ulipitapita na mimi nilipitapita huko sehemu nikaona MO anautajiri wa Dollar Billion 500Hao Forbes naona km hawana ripoti za bakhresa vizuri. Kuna sehem nlipita pita uko nkaona bakhresa ana km $10.6 billion.in short hata uyo moo hawez mfikia bakhresa.
Mkuu nani atatengeneza hao matajiri wa TZ pure? Na ni kivipi wanatengenezwa?
Kwa mtazamo wangu, kuwa tajiri ni maono ya mtu mwenyewe
Mkwere ana mpunga wa kutosha waliokusanya na HOME SHOPPING CENTRE pamoja na CHINESE contracts za gesi [ aliwauzia wachina] zizopitishwa na bunge kwa hati ya dharula; zile JIWE anazosema zina wenyewe!!!
Hii ndio moja ya sababu JIWE anang'ang'ania mradi wa Stiegler's Gorge ujengwe kwani ameona mkwere alimtangulia kuchukua 10% kwenye gesi na yeye anataka kutengeneza yake kwenye mradi wa Stieglers hydoelectricity!! Othrerwise mradi hauna economic justification.
Mungu tuepushe na ignorance!
Acha kuongea habari za dini karne ya 21 wwTena ni wa dini moja tuu !!!
Wewe choko umenifuata na huku? Nimekwambia usijilengeshe sina mpango na marinda yako,unawashwa mpaka unatafuta comments zangu za JF.Mambo Shostito!