Forbes: Top 10 Richest Men in Tanzania for October, 2018.

We umefanya makisio tu na kudhania ni matajiri. Wenzako wanafanya uchunguzi na kujiridhisha ndio wanakuja na list. Kama una pesa nyingi na Forbes hawakujui jua ni ujanja ujanja tu
Mengi aliwaambia forbes kama hata umri wake hawaujui/wanaukosea vipi atawaamini kwny kuorodhesha utajiri wake?
 


Mkwere ana mpunga wa kutosha waliokusanya na HOME SHOPPING CENTRE pamoja na CHINESE contracts za gesi [ aliwauzia wachina] zizopitishwa na bunge kwa hati ya dharula; zile JIWE anazosema zina wenyewe!!!

Hii ndio moja ya sababu JIWE anang'ang'ania mradi wa Stiegler's Gorge ujengwe kwani ameona mkwere alimtangulia kuchukua 10% kwenye gesi na yeye anataka kutengeneza yake kwenye mradi wa Stieglers hydoelectricity!! Othrerwise mradi hauna economic justification.
 
asant mkuu watu wanakuja kutuambia mtu anauweza wa kununua jiwe la madini la Tsh mill mia 9 wakati wanamwambia mwenzie anautajili wa 1.3 billion us$
Mkuu, tatizo la watu ni uvivu wa kupiga hesabu tu.. Sh 900m ni kama us$ laki 3 na ushee (380,000 approx.)... hata $1m haifiki.. Mwenzie ni us$1300m, ambayo ukiileta kwenye michuzi inakaribia Trilion 4, yaani karib tsh bilion 4,000 (na kila bilion 1 ni sawa na milion elfu 1)
 
Mkuu, tatizo la watu ni uvivu wa kupiga hesabu tu.. Sh 900m ni kama us$ laki 3 na ushee (380,000 approx.)... hata $1m haifiki.. Mwenzie ni us$1300m, ambayo ukiileta kwenye michuzi inakaribia Trilion 4, yaani karib tsh bilion 4,000 (na kila bilion 1 ni sawa na milion elfu 1)
ndo kinacho nishangaza yani watu wanaifananisha Tsh na us dollar
 
Write your reply...kwenye iyo orodha simuon babu yangu yule mzee anapesa aise nacjawai kujua anafny biashara ganh
 
Mexico na Columbia kuna watu wana pesa za madawa ya kulevya kumzidi hadi Billgates.

Pabro enzi hizo alikua na mtonyo mrefu dunia nzima lakini forbes hawajawahi kumuweka no 1..

Hata tz kuna viumbe wana mkwanja mzito kuliko MO lakini hawaandikwi..

Mfano ni familia ya mzee wa msoga huyu jamaa anaweza kuwa wa kwanza TZ maana madeal aliyopiga yanaweza kuwa mara 4 ya pesa ya MO
 
Wewe utakua unazungumzia mabilionea wa pesa ya madafu.Wenzako wanazungumzia US Dollar.Mzee baba Usisome hizo namba ukaacha kumalizia ilo neno Usd.
Tanzania inao mabilionea wengi tatizo record zao hazifahamiki, kwa mfano kuna jamaa mmoja yupo katavi anaitwa "Jozee" ananunua madini ana pesa ni balaa, kununua jiwe la million mia 5 au mia 9 kwako huwa ni kitu kidogo sana.
 
1. Mohhamed Dewji; 1.3 Billion Us$
Mohammed Dewji is one of the youngest richest people in the continent of Africa at just 40 years of age. He owns a magnificent 75% stake in the METL Group which is one of the largest industrial conglomerates in the country.

2. Rostam Azizi; 1 Billion Us$
He holds the record of being the first ever billionaire that the nation of Tanzania has produced. He is the owner of a Caspian Mining, a mining company that provides professional services for bigger mining companies such as Barrick Gold and BHP Billiton.

3. Said Salim Bakhressa; 650 Million Us$
He ventured into business at the age of 14 after dropping out of secondary school. From selling potato mixes to opening a small restaurant and then venturing into grain milling, Mr. Bakhresa has been building his business empire steadily for the past 30 years and today, he has become one of the richest men in East Africa.

4. Reginald Mengi; 560 Million Us$
Mr. Reginald Mengi heads and owns one of the largest media conglomerates in the continent of Africa known as the IPP Media Group. The IPP media group encompasses 11 radio stations, Television stations, newspapers and Internet facilities.

5. Ally Awadh; Undisclosed
He worked hard to become licensed by the government and now his company Lake Oil Group, deals with the importation and distribution of petroleum products across the country.

6. Shekhar Kanabar; Undisclosed
He is the manager of the Synarge Group and this conglomerate is already one of the most acknowledged conglomerates in Tanzania

7. Subash Patel; Undisclosed
He is a member of the Institution of Electric Engineers has an affiliation with, MMI Steels Resource Limited and Nyaza Road works Limited. In a time, a frame of about 20 years, Mr. Patel has expanded his horizons from rolling mill business to metamorphosis into one of Tanzania’s leading conglomerate known as the Motisun Group.

8. Ghalib Said Mohamed; Undisclosed
Ghalib was a partner to his father and they were gurus in the cashew plant business and also general commercial activities.
Ghalib, however, decided to set up his own personal franchise which he named as the GSM group.

9. Fida Hussein Rashid; Undisclosed
Fida Rashid is the founder of Africarriers group. Africarriers group as a company became the first of its kind to deal with second-hand vehicles.

10. Yusuf Manji; Undisclosed
Mr. Yusuf Manji has interests in real estate, both the residential and commercial aspects of it. He is the founder of Quality Group of companies. Yusuf Manji also has an involvement in the automotive industry in Tanzania.
Kwenye hii List hata Kikwete, Nyoka wa makengeza, Lowasa hawamo?? Sasa walikuwa wanaiba wanapeleka wapi hawa Akina Mkapa, Membe etc
 
1. Mohhamed Dewji; 1.3 Billion Us$
Mohammed Dewji is one of the youngest richest people in the continent of Africa at just 40 years of age. He owns a magnificent 75% stake in the METL Group which is one of the largest industrial conglomerates in the country.

2. Rostam Azizi; 1 Billion Us$
He holds the record of being the first ever billionaire that the nation of Tanzania has produced. He is the owner of a Caspian Mining, a mining company that provides professional services for bigger mining companies such as Barrick Gold and BHP Billiton.

3. Said Salim Bakhressa; 650 Million Us$
He ventured into business at the age of 14 after dropping out of secondary school. From selling potato mixes to opening a small restaurant and then venturing into grain milling, Mr. Bakhresa has been building his business empire steadily for the past 30 years and today, he has become one of the richest men in East Africa.

4. Reginald Mengi; 560 Million Us$
Mr. Reginald Mengi heads and owns one of the largest media conglomerates in the continent of Africa known as the IPP Media Group. The IPP media group encompasses 11 radio stations, Television stations, newspapers and Internet facilities.

5. Ally Awadh; Undisclosed
He worked hard to become licensed by the government and now his company Lake Oil Group, deals with the importation and distribution of petroleum products across the country.

6. Shekhar Kanabar; Undisclosed
He is the manager of the Synarge Group and this conglomerate is already one of the most acknowledged conglomerates in Tanzania

7. Subash Patel; Undisclosed
He is a member of the Institution of Electric Engineers has an affiliation with, MMI Steels Resource Limited and Nyaza Road works Limited. In a time, a frame of about 20 years, Mr. Patel has expanded his horizons from rolling mill business to metamorphosis into one of Tanzania’s leading conglomerate known as the Motisun Group.

8. Ghalib Said Mohamed; Undisclosed
Ghalib was a partner to his father and they were gurus in the cashew plant business and also general commercial activities.
Ghalib, however, decided to set up his own personal franchise which he named as the GSM group.

9. Fida Hussein Rashid; Undisclosed
Fida Rashid is the founder of Africarriers group. Africarriers group as a company became the first of its kind to deal with second-hand vehicles.

10. Yusuf Manji; Undisclosed
Mr. Yusuf Manji has interests in real estate, both the residential and commercial aspects of it. He is the founder of Quality Group of companies. Yusuf Manji also has an involvement in the automotive industry in Tanzania.

Tuwaombee siku moja wafikie kwenye kiwango cha Dangote na hata kuzidi. Mungu wangu ninayemtumikia azidi kuwainua
 
Naona wote ni wa Asia
Mabillionea wa tanzania wana asili ya asia kwasbabu ya background yao, iyo mijamaa inazaliwa na pesa ipo nyumbani yakutosha tu,

Asili yetu mtu anazaliwa nyumbani wapo zero unalelewa ki zali zali ukipata pesa majukumu ya kwanza kuinua familia. Hapo ubillionea ndio tunausikia kwa wenzetu milele
 
Ipo haja makusudi kutengeneza mabilionea 100% asili Tz, hao sehemu kubwa ya faida itawekezwa Tz, hao wenzetu mguu mmoja ndani wa pili nje.
Wenye asili wanaficha pesa uswizi ,south africa na kuwekeza mahoteli makubwa south nk
 
Forbes hawa bana hahhaha kwa Tanzania wapo wafanyabishara wanaficha kipato chao mo ni trader lkn bakhersaa ni industrialist ila ana mzigo mwingi sana machine tu za kiwanda cha mwandege its almost Euro 200m ila anapenda low profile, kuna mtu mwingine ana Mzigo mwingi sana kama bakhresa nae ni zakaria (haruna) murza achana nae huyo watu wanafika hata 3b USD
acha kuishi kwa mazoea ya vijiweni ..mo ndo mtu mwenye viwanda vingi Afrika mashariki na kati...na hata ukisema Bkhresa anamashine za bei kwani ananunua ghambosh forbes wasione.....yaleyale hamchelewi wataja na majirani zenu
 
acha kuishi kwa mazoea ya vijiweni ..mo ndo mtu mwenye viwanda vingi Afrika mashariki na kati...na hata ukisema Bkhresa anamashine za bei kwani ananunua ghambosh forbes wasione.....yaleyale hamchelewi wataja na majirani zenu
Unajua viwanda vya bakhresa ww mm siishi vijiweni nimefanya kazi kwa bakhresa, oilcom na amsons group na hata kwa murza naongea haya kwa kuyaona pitia basi website ya bakhresa uone viwamda vyake tofautisha kati ya trader (mo,oilcom) na industrialist (bakhresa, murza,dangote etc)
 
Unajua viwanda vya bakhresa ww mm siishi vijiweni nimefanya kazi kwa bakhresa, oilcom na amsons group na hata kwa murza naongea haya kwa kuyaona pitia basi website ya bakhresa uone viwamda vyake tofautisha kati ya trader (mo,oilcom) na industrialist (bakhresa, murza,dangote etc)
Usipende ishi kwa mazoea forbes hawakosei
METL Group is Tanzania's largest home-grown company, worth more than $1 billion with a presence in 11 countries in Africa, such as Uganda, Ethiopia Kenya, South Sudan, Rwanda, Burundi Zambia, Mozambique, Malawi, DR Congo and ofcourse Tanzania.


BAKHRESA Group has its operations spread in Tanzania Mainland & Zanzibar, Kenya, Uganda, Malawi, Mozambique, Zambia, Rwanda, Burundi and in South Africa. Plans are in place to spread its wings to other countries.

The Group now boasts of a turnover of more than Eight Hundred Million United Sates Dollars and is a proud employer of more than eight thousand people.
 
Usipende ishi kwa mazoea forbes hawakosei
METL Group is Tanzania's largest home-grown company, worth more than $1 billion with a presence in 11 countries in Africa, such as Uganda, Ethiopia Kenya, South Sudan, Rwanda, Burundi Zambia, Mozambique, Malawi, DR Congo and ofcourse Tanzania.


BAKHRESA Group has its operations spread in Tanzania Mainland & Zanzibar, Kenya, Uganda, Malawi, Mozambique, Zambia, Rwanda, Burundi and in South Africa. Plans are in place to spread its wings to other countries.

The Group now boasts of a turnover of more than Eight Hundred Million United Sates Dollars and is a proud employer of more than eight thousand people.
Humjui bakhresa ni hodari wa kuficha mengi yake hilo lijue tutabishana hapa bure Forbes hawakosei mbn hawamueki bin salman au alnahyan ama tamim althani kama matajiri wa dunia? Huwezi kuwaelewa matajiri wa kiarbu na wa kihindi tz kama wategemea Forbes wengi wao wa nafanya makusudi kutodeclear baadhi ya assets zao
 
Tutakesha watakua ndugu zako sio bure njoo na takwimu zako
Humjui bakhresa ni hodari wa kuficha mengi yake hilo lijue tutabishana hapa bure Forbes hawakosei mbn hawamueki bin salman au alnahyan ama tamim althani kama matajiri wa dunia? Huwezi kuwaelewa matajiri wa kiarbu na wa kihindi tz kama wategemea Forbes wengi wao wa nafanya makusudi kutodeclear baadhi ya assets zao
 
Back
Top Bottom