MLAU
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 4,726
- 3,354
Wacha waandike,Tanzania itabaki kuwa Tanzania na Marekani itabaki kuwa Marekani tu.
Mwekezaji lazima afuate sheria na taratibu za Tanzania,Serikali haingalii utajiri wake.
Wanapenda kuja kuwekeza watakuja na wasiotaka kuja hatuwezi kuwabembeleza kwasababu ya pesa zao NEVER and EVER kwa Serikali Makini.
Mwekezaji lazima afuate sheria na taratibu za Tanzania,Serikali haingalii utajiri wake.
Wanapenda kuja kuwekeza watakuja na wasiotaka kuja hatuwezi kuwabembeleza kwasababu ya pesa zao NEVER and EVER kwa Serikali Makini.