For single ladies out there

Ww...!!!! mwanamke hajivui gamba anavuliwa na mwanaume, unajua gamba la kike liko wapi? Finest
akuonyeshe/ akuvue not urself

usinikomaze masikio jamani!
Halafu kumsingizia finest ndio nin!
Hebu nivue hilo gamba hapa na wengine wajifunze. Lol!
 
Nitumie bank statement yako yatangu miaka
mitano iliyopita.. usisahaupepar zote za business zako..
na kama umeajiriwa nataka kuona payment slip..

Nyumba ngapi unazo?
je ni Toyota au Mcdz Benz?nani ya mwaka gani?
Ngapi$$$$$$$$ utanipa kwa shopping kila wiki?
Je holiday mbili za mwanzo utanipeleka wapi?
Last but not least... navaa dhahabu tu gold inafanana
na ngozi yangu kwahiyo sataki...
 
Uchumi ukiyumba itakuwaje utaacha mke??
 

Bado tu hujapata???

Kama bado mimi niko tayari maana uchumi wangu sio kabisa kwahiyo kama wako umekaa sawa tutaendana!!
Umri 23...mChagga...elimu kidato cha nne....makazi atown....kazi sina!!
 

aisee!! We mkali
 
ye mwenyewe angekuwa wa maana angetafuta mitandaoni?hana lolote mashauzi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…