The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,085
[/SIZE][/B]
kwa sababu wanawake wako wengi utapata ambae anatamani kuolewa na c ajuae maana ya ndoa, lakini ajuae maana ya ndoa alieachika ndio atataka sifa kama hizo zako, tatizo unafikiri mke uliemuacha unaweza ukapata kama yeye inategemea kuna wengine wamekimbia tabu ulizokimbia wewe kwa hao wanaume waliowahi ishi nao.
Hili nalo neno Maty