For serious & single ladies: Nipo kwenye harakati za kutafuta mke mwema

Taluma

Senior Member
Jan 22, 2011
158
2
Habari zenu mabibi! Nipo kwenye harakati za kutafuta mwanamke wa kuishi naye hapa Tanzania: Sifa za mke ninaye mtafuta ni kama ifuatavyo;
  • Awe na umri kati ya miaka 25 hadi 32
  • Asiwe amewahi kuolewa kwa ndoa ya aina yeyote ile
  • Asiwe amewahi kuishi na mume kama mume wake (zile za kuvutana kimya kimya bila ndoa)
  • Awe na umbo linalovutia (si bonge sana, si mwembamba sana) ie good looking ...wale wa mkorogo au mawigi....no please...!ninapenda natural beauty!
  • Elimu angalau form four na kuendelea
  • Awe mfanyakazi au mjasiliamali
  • Awe ni mkristo -RC au kama ni dhehebu lingine (sio ulokole) awe tayari kuwa RC
  • Asiwe na kuburi kabisaaaa
  • Asiwe na hasira, jaziba au vuvuzela
  • Asiwe mchafu, awe anapenda usafi wa mwili wake, nyumba, mazingira anayoishi, viwalo vyake etc
  • Awe mke mwenye hekima, busara na adabu kwa wakubwa wake
  • Awe mke anayeheshimu mila na desturi za kiafrika...asiwe adicted kwenye western culture tu.
  • Awe tayari (if god wishes) kuzaa watoto wasiozidi wawili tu
  • Awe tayari kupima VVU -wakati ukiwadia
  • Awe mtanzania wa kabila lolote
Sifa zangu;
  • Elimu chuo kikuu -na professional certificate
  • Umri miaka 34
  • Kabila Mnyalu
  • Mfanyakazi na mjasiliamali
  • Nina huruma sana for the ''needy'' people
  • Nina kunywa ....hasa weekends!
  • Nina watoto wawili - mama yao tuliachana (hakukuwa na ndoa yeyote) baada ya kushindwa kuelewana
  • Niko rafu (kuvaa, kula) lakini napenda mke asiwe rafu kama mimi
  • Nina jiamini
  • Ni mrefu - 1.67m
  • Uzito 84kgs
  • Occassionaly huwa naenda club
  • Ni mweusi ila kidogo maji ya kunde
  • Napenda muziki - wa dini na uraiani
Tafadhali kwa anaye endana na wasifu huo na ambaye hupo tayari kuishi na mimi pamoja na wasifu wangu hapo juu, naomba tuwasiliane kwa njia zifuatazo;
Tafadhali naomba kwa wale walio serious tu ndo wanitumie PM au email, hakuna mzaha au utani ninamaanisha niliyoyaandika!

Asante na Mungu awabariki sana!
 
Habari zenu mabibi! Nipo kwenye harakati za kutafuta mwanamke wa kuishi naye hapa Tanzania: Sifa za mke ninaye mtafuta ni kama ifuatavyo;

  • Awe na umri kati ya miaka 25 hadi 32
  • Asiwe amewahi kuolewa kwa ndoa ya aina yeyote ile
  • Asiwe amewahi kuishi na mume kama mume wake (zile za kuvutana kimya kimya bila ndoa)
  • Awe na umbo linalovutia (si bonge sana, si mwembamba sana) ie good looking ...wale wa mkorogo au mawigi....no please...!ninapenda natural beauty!
  • Elimu angalau form four na kuendelea
  • Awe mfanyakazi au mjasiliamali
  • Awe ni mkristo -RC au kama ni dhehebu lingine (sio ulokole) awe tayari kuwa RC
  • Asiwe na kuburi kabisaaaa
  • Asiwe na hasira, jaziba au vuvuzela
  • Asiwe mchafu, awe anapenda usafi wa mwili wake, nyumba, mazingira anayoishi, viwalo vyake etc
  • Awe mke mwenye hekima, busara na adabu kwa wakubwa wake
  • Awe mke anayeheshimu mila na desturi za kiafrika...asiwe adicted kwenye western culture tu.
  • Awe tayari (if god wishes) kuzaa watoto wasiozidi wawili tu
  • Awe tayari kupima VVU -wakati ukiwadia
  • Awe mtanzania wa kabila lolote
Sifa zangu;

  • Elimu chuo kikuu -na professional certificate
  • Umri miaka 34
  • Kabila Mnyalu
  • Mfanyakazi na mjasiliamali
  • Nina huruma sana for the ''needy'' people
  • Nina kunywa ....hasa weekends!
  • Nina watoto wawili - mama yao tuliachana (hakukuwa na ndoa yeyote) baada ya kushindwa kuelewana
  • Niko rafu (kuvaa, kula) lakini napenda mke asiwe rafu kama mimi
  • Nina jiamini
  • Ni mrefu - 1.67m
  • Uzito 84kgs
  • Occassionaly huwa naenda club
  • Ni mweusi ila kidogo maji ya kunde
  • Napenda muziki - wa dini na uraiani
Tafadhali kwa anaye endana na wasifu huo na ambaye hupo tayari kuishi na mimi pamoja na wasifu wangu hapo juu, naomba tuwasiliane kwa njia zifuatazo;

Tafadhali naomba kwa wale walio serious tu ndo wanitumie PM au email, hakuna mzaha au utani ninamaanisha niliyoyaandika!

Asante na Mungu awabariki sana!

Akitokea mwenye sifa kama zako hapo kwenye red?
 
Akitokea mwenye sifa kama zako hapo kwenye red?

Babaubaya,

Nafikiri kuna sehemu nimesema asiwe aliwahi kuolewa au kuishi na mume hata kimyakimya.....! kama amezaa watoto wawili hii itakuwa ngumu....kama mtoto mmoja na hakuwahi kuishi na huyo baba mtoto hiyo powa tu tutaelewana!
 
Vijana vituko haviishi.... siku hizi kutafuta mke mpaka tunatangaza :kev:
 
Vijana vituko haviishi.... siku hizi kutafuta mke mpaka tunatangaza :kev:

Babua,

Siku hizi wakoloni wanatubana sana kwenye uwanja mmoja, tunakosa nafasi za kupanua uwanja wa kuwindia, si jumamosi si jumapili unatumika....kwa hiyo hii nayo ni njia mdala na nzuri ya kuongeza wigo unakoweza patia wachumba na marafiki! Zamani nyie hamkuweza kutumia njia hii kwa sababu haikuwepo, ingekuwepo na nyie mngetumia tu.....!
 
Habari zenu mabibi! Nipo kwenye harakati za kutafuta mwanamke wa kuishi naye hapa Tanzania: Sifa za mke ninaye mtafuta ni kama ifuatavyo;
  • Awe na umri kati ya miaka 25 hadi 32
  • Asiwe amewahi kuolewa kwa ndoa ya aina yeyote ile
  • Asiwe amewahi kuishi na mume kama mume wake (zile za kuvutana kimya kimya bila ndoa)
  • Awe na umbo linalovutia (si bonge sana, si mwembamba sana) ie good looking ...wale wa mkorogo au mawigi....no please...!ninapenda natural beauty!
  • Elimu angalau form four na kuendelea
  • Awe mfanyakazi au mjasiliamali
  • Awe ni mkristo -RC au kama ni dhehebu lingine (sio ulokole) awe tayari kuwa RC
  • Asiwe na kuburi kabisaaaa
  • Asiwe na hasira, jaziba au vuvuzela
  • Asiwe mchafu, awe anapenda usafi wa mwili wake, nyumba, mazingira anayoishi, viwalo vyake etc
  • Awe mke mwenye hekima, busara na adabu kwa wakubwa wake
  • Awe mke anayeheshimu mila na desturi za kiafrika...asiwe adicted kwenye western culture tu.
  • Awe tayari (if god wishes) kuzaa watoto wasiozidi wawili tu
  • Awe tayari kupima VVU -wakati ukiwadia
  • Awe mtanzania wa kabila lolote
Sifa zangu;
  • Elimu chuo kikuu -na professional certificate
  • Umri miaka 34
  • Kabila Mnyalu
  • Mfanyakazi na mjasiliamali
  • Nina huruma sana for the ''needy'' people
  • Nina kunywa ....hasa weekends!
  • Nina watoto wawili - mama yao tuliachana (hakukuwa na ndoa yeyote) baada ya kushindwa kuelewana
  • Niko rafu (kuvaa, kula) lakini napenda mke asiwe rafu kama mimi
  • Nina jiamini
  • Ni mrefu - 1.67m
  • Uzito 84kgs
  • Occassionaly huwa naenda club
  • Ni mweusi ila kidogo maji ya kunde
  • Napenda muziki - wa dini na uraiani
Tafadhali kwa anaye endana na wasifu huo na ambaye hupo tayari kuishi na mimi pamoja na wasifu wangu hapo juu, naomba tuwasiliane kwa njia zifuatazo;
Tafadhali naomba kwa wale walio serious tu ndo wanitumie PM au email, hakuna mzaha au utani ninamaanisha niliyoyaandika!

Asante na Mungu awabariki sana!

Vuvuzela ndo wapi tena,naona kama nina vigezo ila sijui hao vuvuzela ndo wapi nisije kuwa mmoja wao???
 
Hii si haki,wewe una watoto unataka asiye na watoto aje mlee watoto wako,kwanini usitafute mwenye mtoto mlee watoto wenu
 
Vuvuzela ndo wapi tena,naona kama nina vigezo ila sijui hao vuvuzela ndo wapi nisije kuwa mmoja wao???

Michelle,

kama Vuvuzela imekuchanganya utanisamehe, lakini hii ina maanisha ni mwanamke anayeongea sana/anachonga sana/anapayuka sana hata bila mpangalio...hope umenipata sio?
 
Hii si haki,wewe una watoto unataka asiye na watoto aje mlee watoto wako,kwanini usitafute mwenye mtoto mlee watoto wenu

...shosti, kuna post mmoja hapo juu nimejibu nafikiri ya babaubaya kwamba....kama atakuwa amezaa basi isiwe zaidi ya mtoto mmoja! Ili mimi na yeye tuzae mmoja tu jumla wanne....huyu mmoja ni wakuimarisha ndoa tu! unajua mambo yetu ya kiswahili mama asipozaa inakuwa balaa kweli kwenye ukoo....nadhani upo hapo!
 
Michelle,

kama Vuvuzela imekuchanganya utanisamehe, lakini hii ina maanisha ni mwanamke anayeongea sana/anachonga sana/anapayuka sana hata bila mpangalio...hope umenipata sio?

Asante Taluma,

Sasa hao watoto, mkeo utakayemuoa ndo atakuwa anawalea au mama watoto mwenyewe we unatunza tu????
 
Kuna mmoja ana sifa zoote lakini ana matatizo ya kuwahurumia watu.... sijui kama atakufaa
 
Asante Taluma,

Sasa hao watoto, mkeo utakayemuoa ndo atakuwa anawalea au mama watoto mwenyewe we unatunza tu????

Tulikubaliana mama yao atakaa nao mpaka wafikishe miaka 7, then nitawachukua wote so pia nategemea mke nitakaye mwoa awe tayari kunisaidia kuwalea pia....! asante kwa kuuliza hili swali ilibidi niliweke wazi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom