For medical students!

Njiwa:Kama daktari ni specialist tayari,akitaka ku practice US,utaratibu ukoje?Nadhani ni lazima afaulu USMLE kwanza.Then?
 

Mkuu njiwa, ahsante sana kwa taarifa hizi. Natafuta shule za MPH huko UK, USA au Norway naomba ulisaidie data za vyuo bora katika nchi hizo.
 
Njiwa:Kama daktari ni specialist tayari,akitaka ku practice US,utaratibu ukoje?Nadhani ni lazima afaulu USMLE kwanza.Then?

USMLE is Unavoidable
 
Dah! nimefurahi sana kukutana na jukwaa hili pamoja na elimu nzuri ya ndugu Njiwa.
Binafsi nimemaliza mwaka wa kwanza mwezi huu mwanzoni na nilipata dondoo hizi kipindi niko semester ya kwanza japo sio kwa kina sana, nilijitahidi kujua hasa kuhusu hili swala ilanilikosa msaada mpaka leo nilivyokuta ukurasa huu na mijadala yote ilioendelea kipindi cha nyuma!!!
Inaonekana kdogo challenging ila nilidhamilia kuanza mchakato huu ila kwa sababu hapa wengi ni masenior wangu pamoja na kiongozi Njiwa mwenyewe sijui mnanishaulije kuhusu hili swala??
 
Anzisha uzi mpya..huu ni wa 2011 si ajabu njiwa alishaacha haya mambo akawa katibu wa chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…