Football jersey designer

kichwangum

Member
Joined
Nov 10, 2024
Posts
44
Reaction score
64
Habar za humu ndani,natumai ni wazima wa afya.

Mimi ni kijana wa miaka 22 nimebahatika kufika chuo,saiz nipo mwaka wa pili.

Nilikua ninawazo la kuwa mbunifu wa jezi za mpira wa miguu katika sekta ya michezo hapa Tanzania.

Naomba mchango wenu nianzie wapi wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…