mwaka jana na mwaka huu tusker project fame haijafanyika....lakini pia kule English ndio lugha kuu ya mawasiliano sasa sijui kama yupo vizuri pande hizo
mwaka jana na mwaka huu tusker project fame haijafanyika....lakini pia kule English ndio lugha kuu ya mawasiliano sasa sijui kama yupo vizuri pande hizo
Yaani Carvin na Fonabo ni wazuri mno ktk uimbaji calvin ana somethin unique ila ndo hivyo cc watz Mungu atuhurumie tu maana sijitukani wala siwatukani hatujielewi kabisa tuna claim na maisha yanaenda kwa claiming hiyohiyo