muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,115
- 4,801
Wakuu, wiki hii katika mihangaiko ya hapa na pale nilikuwa mkoani kigoma wilayani Kibondo. Kulikua na zoezi la uchukuaji fomu za kujaza kwaajiri ya vitambulisho vya taifa.
Zoezi hili lilikuwa ni kwaajili ya ambao majina yao hayakuonekana kwenye uhakiki na wale ambao hawakujiandikisha.
Cha kushangaza fomu zinauzwa kila fomu shilingi mia mbili.
Aisee hii sasa hatari nchi hii kwa sasa kila kitu kinauzwa, pesa inatafutwa kwa udi na uvumba.
Nahisi vitambulisho vikitoka tutauziwa pia.
Uchumi unazidi kuimarika
#Tanzania ya viwanda kuelekea uchumi wa kati
Zoezi hili lilikuwa ni kwaajili ya ambao majina yao hayakuonekana kwenye uhakiki na wale ambao hawakujiandikisha.
Cha kushangaza fomu zinauzwa kila fomu shilingi mia mbili.
Aisee hii sasa hatari nchi hii kwa sasa kila kitu kinauzwa, pesa inatafutwa kwa udi na uvumba.
Nahisi vitambulisho vikitoka tutauziwa pia.
Uchumi unazidi kuimarika
#Tanzania ya viwanda kuelekea uchumi wa kati