Mmh, congrats! I presume your life plans are in line now, God bless!exactly one year. Coincident, the date i marked a year since grad is the day i received that phone call to sign contract.
Mtolee Mungu sadaka ya malimbuko (mshahara wote wa kwanza). Atakubariki na kulinda kipato chako kwa njia ya ajabu.
Glory to Almight God.
Kijana hongera kwa kupata kazi. Mshahara wako wa kwanza, chukua fungu uwanunulie wazazi wako zawadi ndogo, sio lazima iwe kubwa na ukiwapelekea waambie kabisa hiyo zawadi umenunua kutoka sehemu ya mshahara wako wa kwanza. Wazazi watafurahi sana na kukubariki. Baraka za wazazi ni muhimu katika mafanikio yako ya sasa na ya baadae. Fungu lingine la sehemu ya mshahara, peleka kanisani au msikitini kutegemea dini yako.
Sikushauri upeleke mshahara wote kanisani au msikitini kwani tunaambiwa Mungu anahitaji tu fungu la kumi, sio 100%.
Kila kheri.
Tiba
mkuuu kazi yenyewe ni hii hongera sana
https://www.jamiiforums.com/nafasi-...-i-got-an-interview-tomorrow.html#post7580590