Foleni ya Mbagala inakera

Foleni ya Mbagala inakera

feyzal

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2016
Posts
8,524
Reaction score
17,182
Wakuu huku mbagala mateso sasa.

Muda huu saa 4 kasoro lakini kuna foleni kubwa nimekwama tu hapa kwa aziz Ally sijui nafika kwangu saa ngapi.

Kuna binti nimempigia ananiambia tangu saa 11 amefika kwake majimatitu nusu saa iliyopita.

Mbagala tumeumbwa mateso mateso kuhangaika...!
 
Wakuu huku mbagala mateso sasa.

Muda huu saa 4 kasoro lakini kuna foleni kubwa nimekwama tu hapa kwa aziz Ally sijui nafika kwangu saa ngapi.

Kuna binti nimempigia ananiambia tangu saa 11 amefika kwake majimatitu nusu saa iliyopita.

Mbagala tumeumbwa mateso mateso kuhangaika...!
Park Gari Hapo Mtongani chukua boda umuwahi mtoto majimatitu. Vinginevyo majirani watajibebea
 
majimatitu nusu saa iliyopita.
Pole sana jirani! nakumbuka ilipojengwa double road, tulikuwa tunateleza tu! watu kuona usafiri ni murua, wakahamia Mbagala, Mbande, chanika na sehemu kama hizo. KUKAJAA! Ni mateso labda tuombe mwendokasi ufanikiwe (by the way ujenzi mwendokasi imefikawapi?)
Nisalimie wa Majimatitu!
 
Si mnapenda kukaa mjini

Wenzio uku unapita njia peke yako tena katikati mpaka barabara inaota majani pembeni
 
Leo barabara ilifungwa tangu majira ya saa 10 jioni kupisha msafara wa raisi magufuli akitokeasi msibani....
 
Pole sana jirani! nakumbuka ilipojengwa double road, tulikuwa tunateleza tu! watu kuona usafiri ni murua, wakahamia Mbagala, Mbande, chanika na sehemu kama hizo. KUKAJAA! Ni mateso labda tuombe mwendokasi ufanikiwe (by the way ujenzi mwendokasi imefikawapi?)
Nisalimie wa Majimatitu!
Leo foleni ilifika Hadi Chamazi kutokea mbagala rangi3 kutokana na msafara wa raisi
 
Chepuka upite kijichi utokee mbele kwa mbele kama unajua njia
 
Mkuu njia rahisi kama una gari binafsi au hata daladala una pita ferry then ukivuka una enda hadi chekechea Baada ya hapo vikunai una ibukia mission. Kwa daladala Chekechea una tokea Zakhem
 
Hapo ndipo buza inapunguza kupondwa.. maana ina barabara kama zote za kufika mjini.. bila kusahau umbali mfupi buza ni 14 km to city centre posta
 
Wakuu huku mbagala mateso sasa.

Muda huu saa 4 kasoro lakini kuna foleni kubwa nimekwama tu hapa kwa aziz Ally sijui nafika kwangu saa ngapi.

Kuna binti nimempigia ananiambia tangu saa 11 amefika kwake majimatitu nusu saa iliyopita.

Mbagala tumeumbwa mateso mateso kuhangaika...!

Kilichokufanya ukimbilie Kumpigia Simu Binti na Kumuulizia ni nini? Na ndiyo maana umechelewa na mtachelewa kwani mnawaza Ngono tu pekee.
 
Msafara wa Raisi umesababisha yote hayo..saa tano ndiyo naona magari yameanza kutembea..inakera
 
Mkuu njia rahisi kama una gari binafsi au hata daladala una pita ferry then ukivuka una enda hadi chekechea Baada ya hapo vikunai una ibukia mission. Kwa daladala Chekechea una tokea Zakhem
Kama vikunai anaweza tokea hata sabasaba kwa mpili..Sasa hivi kutoka kijichi/mbagala to kigamboni dk chache tu.
 
Wakuu huku mbagala mateso sasa.

Muda huu saa 4 kasoro lakini kuna foleni kubwa nimekwama tu hapa kwa aziz Ally sijui nafika kwangu saa ngapi.

Kuna binti nimempigia ananiambia tangu saa 11 amefika kwake majimatitu nusu saa iliyopita.

Mbagala tumeumbwa mateso mateso kuhangaika...!

Leo barabara ilifungwa msafara wa Rais, nilijua litatokea hili nikawahi kurudi! Japo mi nipo jirani tu hapa
 
Mkuu njia rahisi kama una gari binafsi au hata daladala una pita ferry then ukivuka una enda hadi chekechea Baada ya hapo vikunai una ibukia mission. Kwa daladala Chekechea una tokea Zakhem
Mbali sana.....kuna barabara inajengwa ya kupita Kwa Mpalange chap unatokea Chamazi.
 
Foleni ya kuelekea Mbagala rangi tatu leo ni hatari


Mimi mwenyewe mhanga siwezi sahau hii siku
Wakuu huku mbagala mateso sasa.

Muda huu saa 4 kasoro lakini kuna foleni kubwa nimekwama tu hapa kwa aziz Ally sijui nafika kwangu saa ngapi.

Kuna binti nimempigia ananiambia tangu saa 11 amefika kwake majimatitu nusu saa iliyopita.

Mbagala tumeumbwa mateso mateso kuhangaika...!
 
Msafara wa Raisi umesababisha yote hayo..saa tano ndiyo naona magari yameanza kutembea..inakera
Nimetoka kazini mapema. Majira ya saa 9 hivi nikapitia Mbagala, njiani naona polisi wengi nikahisi kitu. Nikakaa sana Maji Matitu, nimetoka saa 12 jioni bonge la foleni tokea juu kule kwa Mbiku. Loh....leo yalikua mateso. Uzuri nazijua border zote nikateleza fastaaa
 
Back
Top Bottom