foleni ya leo bagamoyo road kiboko

imeanzia mwenge kaka, mie nimetoka mwenge saa 3 ndo nafika bunju saa hz
 
imeanzia mwenge kaka, mie nimetoka mwenge saa 3 ndo nafika bunju saa hz, hope itakuwa imepungua
 
Watumiaji wa Mandela Road tulikiona cha moto juzi. Foleni ilianzia Matumbi hadi TAZARA, kontena lilikuwa limedondoka kwenye mataa. Aisee nilifika Banana saa tano usiku baada ya kutoka Ubungo saa moja jioni
 
Back
Top Bottom