Asante kwa taarifa. Ila mimi siwashauri watafute njia mbadala, bali nawashauri watafute usafiri mbadala kama vile boda boda...Habari wanabodi.
Nimetokea mwenge kuelekea nje ya mji kupitia New bagamoyo road, foleni ni ya kutisha na hii imeanzia mwenge mataa mpaka tegeta darajani, nilipofika afrikana njia panda nimemuona kamanda Sirro amekaa kando anawaangalia trafiki namna wanavyoongoza magari.
Hii hali siyo ya kawaida kama unatokea Tegeta kuja mwenge tafuta njia mbadala la sivyo utachelewa katika mipango yak o maana hili foleni siyo mchezo.
Nawatakia siku njema.
Maeneo gani hayo??Kama kichwa kinavyojieleza foleni ni kubwa sana na watu washuka kwenye daladala wanatembea kwa miguu
Mwenye kujua Kuna tatizo gani atujulishe
Ni kweli mkuu ila kwa foleni hii siyo kawaida, kuna Jambo labda tutajua baadae shida nini
Tegeta kwenda mwengeMaeneo gani hayo??
DuuhTegeta kwenda mwenge