chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,786
Habari wanabodi.
Nimetokea mwenge kuelekea nje ya mji kupitia New bagamoyo road, foleni ni ya kutisha na hii imeanzia mwenge mataa mpaka tegeta darajani, nilipofika afrikana njia panda nimemuona kamanda Sirro amekaa kando anawaangalia trafiki namna wanavyoongoza magari.
Hii hali siyo ya kawaida kama unatokea Tegeta kuja mwenge tafuta njia mbadala la sivyo utachelewa katika mipango yak o maana hili foleni siyo mchezo.
Nawatakia siku njema.
Nimetokea mwenge kuelekea nje ya mji kupitia New bagamoyo road, foleni ni ya kutisha na hii imeanzia mwenge mataa mpaka tegeta darajani, nilipofika afrikana njia panda nimemuona kamanda Sirro amekaa kando anawaangalia trafiki namna wanavyoongoza magari.
Hii hali siyo ya kawaida kama unatokea Tegeta kuja mwenge tafuta njia mbadala la sivyo utachelewa katika mipango yak o maana hili foleni siyo mchezo.
Nawatakia siku njema.
