Nikuambie kitu. Miaka yote December ndio mwezi pekee ambao hauna foleni Dar.Always December is like this..
Reason wachaga wengi wauza mitumba wanakua likizo lkn pia watu wengi wanakua likizo hii inajumuisha walimu na wanafunzi.
Ukiona foleni Dar December ujue Kuna polisi amevimbiwa rushwa.

