Foleni Ubungo

Foleni Ubungo

wenfurebe

Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
21
Reaction score
6
Hii foreni ya Ubungo imekuwa yakutisha siku hizi, sijui tunaelekea wapi mji huu kwa hali hii.
 
hivi kuna haja ya watu woote kuishi dar?

kuna haja ya serikali kujenga makazi zaidi nje ya jiji kama pwani na morogoro, baada ya muda wa kazi, watu wananyooka kwenda morogoro na pwani kwa ajili ya shelter..

Halafu suala lingine, Dar es salaam haitakiwi kuwa na nyumba binafsi nyingi kiasi hicho, nyumba ziuzwe kwa lazima, serikali ijenge makazi ya kupangisha, hii itapunguza idadi ya makazi ya watu na msongamano pia.

strategy nyingine ya kupunguza foleni pia kulitakiwa kuongezwa gharama za kuingia na private car ndani ya jiji! kwanini barabarani iwe parking ya magari? hii system si nzuri hata kidogo.. serikali inabidi ipandishe kodi maradufu, kuingia city centre iwe ni kwa public vehicles tu ambazo zitakuwa advanced with timely route.

kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya ili kupunguza foleni, tatizo serikali yetu imekata masikio, inasikia myangwi tu!
 
hivi kuna haja ya watu woote kuishi dar?

kuna haja ya serikali kujenga makazi zaidi nje ya jiji kama pwani na morogoro, baada ya muda wa kazi, watu wananyooka kwenda morogoro na pwani kwa ajili ya shelter..

Halafu suala lingine, Dar es salaam haitakiwi kuwa na nyumba binafsi nyingi kiasi hicho, nyumba ziuzwe kwa lazima, serikali ijenge makazi ya kupangisha, hii itapunguza idadi ya makazi ya watu na msongamano pia.

strategy nyingine ya kupunguza foleni pia kulitakiwa kuongezwa gharama za kuingia na private car ndani ya jiji! kwanini barabarani iwe parking ya magari? hii system si nzuri hata kidogo.. serikali inabidi ipandishe kodi maradufu, kuingia city centre iwe ni kwa public vehicles tu ambazo zitakuwa advanced with timely route.

kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya ili kupunguza foleni, tatizo serikali yetu imekata masikio, inasikia myangwi tu!

yaani ufanye kazi dar then urudi moro,kwa usafiri gani???hapo kimara tu masaa 6 moro si itakuwa 8hrs???!
nyumba za kupanga na binafsi zote si wanaishi watu?? watapungua vipi???

btw una uhuru wa kuishi mkoa wowote tanzania sio lazima serikali ilazimishe watu wasiishi dar.
 
Mhh mkuu hiyo foreni natamani niione maana Ni mpya kwangu
 
hivi kuna haja ya watu woote kuishi dar?

kuna haja ya serikali kujenga makazi zaidi nje ya jiji kama pwani na morogoro, baada ya muda wa kazi, watu wananyooka kwenda morogoro na pwani kwa ajili ya shelter..

Halafu suala lingine, Dar es salaam haitakiwi kuwa na nyumba binafsi nyingi kiasi hicho, nyumba ziuzwe kwa lazima, serikali ijenge makazi ya kupangisha, hii itapunguza idadi ya makazi ya watu na msongamano pia.

strategy nyingine ya kupunguza foleni pia kulitakiwa kuongezwa gharama za kuingia na private car ndani ya jiji! kwanini barabarani iwe parking ya magari? hii system si nzuri hata kidogo.. serikali inabidi ipandishe kodi maradufu, kuingia city centre iwe ni kwa public vehicles tu ambazo zitakuwa advanced with timely route.

kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya ili kupunguza foleni, tatizo serikali yetu imekata masikio, inasikia myangwi tu!

Nyumba ziuzwe halafu derikali ijenge nyumba za kupangisha???????
 
yaani ufanye kazi dar then urudi moro,kwa usafiri gani???hapo kimara tu masaa 6 moro si itakuwa 8hrs???!
nyumba za kupanga na binafsi zote si wanaishi watu?? watapungua vipi???

btw una uhuru wa kuishi mkoa wowote tanzania sio lazima serikali ilazimishe watu wasiishi dar.

mkuu unajua sababu hasa ya kuwa 6 hours ni nini?

je tukiwa na treni ya umeme kutoka dar to moro then pwani, unadhani hali itakuwaje?

tunahitaji kubadili mifumo tu katika utendaji serikalini, naamini mabadiliko yatakuja tu!

cc BADILI TABIA...
 
Last edited by a moderator:
Nyumba ziuzwe halafu derikali ijenge nyumba za kupangisha???????

mkuu umeelewa lakin lengo la kutoa hiyo hoja?

kuna haja ya kufanya reconstruction of infrastructures, shelters na mengi mengineyo... bongo hii feeder roads hazina connection nzuri na main roads.. hata hizo main zenyewe pia hazibebi mahitaji ya walaji..

kuhusu nyumba, lengo kuu ni kuongeza mapato na kupunguza congestion.. kuna mengi ya kuzungumzia hapo mkuu!
 
mkuu unajua sababu hasa ya kuwa 6 hours ni nini?

je tukiwa na treni ya umeme kutoka dar to moro then pwani, unadhani hali itakuwaje?

tunahitaji kubadili mifumo tu katika utendaji serikalini, naamini mabadiliko yatakuja tu!

cc BADILI TABIA...

sasa wewe unazungumzia watu wahamie morogoro kwa usafiri upi???ndio swali langu,i've been there done that driving 50miles to/fro work on motorways every day, sio morogoro road.

weka hizo train,barabara za kueleweka wala hutalazimisha watu wenyewe utawaona wanaishi msata kazi dar.
 
Hii foreni ya Ubungo imekuwa yakutisha siku hizi, sijui tunaelekea wapi mji huu kwa hali hii.

Pole sana, mimi nimenasuka mida hii huko nimekoma kupitia morogoro road. Kuanzia manzese foleni ni KIYAMA mpaka sinza kote hakuendeki
 
I hate dis kind of muh'fo critism I'm like wtf?

and i hate muh'fo like u...im like wtf is ur problem.......some niggas dont know the difference btn foreni and foleni,im just helping him.

in short mind ur fcing business and let the nigga stand for himself!
 
mkuu unajua sababu hasa ya kuwa 6 hours ni nini?

je tukiwa na treni ya umeme kutoka dar to moro then pwani, unadhani hali itakuwaje?

tunahitaji kubadili mifumo tu katika utendaji serikalini, naamini mabadiliko yatakuja tu!

cc BADILI TABIA...

Umeme wa kuwasha taa nyumbani ni shida..kutakuwa na umeme wa kuendesha treni...endelea kuota..
 
Last edited by a moderator:
Leo katika hali isiyo ya kawaida kuna foleni kubwa sana mida hii barabara ya Mandela. Foleni imeanzia maeneo ya mwananchi mpaka ubungo. Na hakuna hata dalili ya magari kusogea..
 
Back
Top Bottom