Ukitoka Kimara hata uwe na ulevi gani kichwani. Mpaka ukifika cha zamani ulevi wote kwishne.
Tatizo sasa kwenye foleni hii walevi wenzangu ni mkojo. Hapa nakojoa kwenye chupi ya maji poa.
Ukitoka Kimara hata uwe na ulevi gani kichwani. Mpaka ukifika cha zamani ulevi wote kwishne.
Tatizo sasa kwenye foleni hii walevi wenzangu ni mkojo. Hapa nakojoa kwenye chupi ya maji poa.
Ila nilikuwa naongea na dereva mmoja wa Lorry akasema jtano-jmosi ndo safari za kutoka,yaani jtatu wanafuatilia mizigo port,mara nyingi hizo siku ndo wanapata mizigo