gudJohnson
Member
- Aug 24, 2015
- 32
- 52
Hivi sababu hasa ya hii foleni kubwa namna hii mpaka usiku wa saa saba kwenye barabara ya morogoro kipande cha kuanzia kimara mpaka Mbezi ni nini????
wahusika mmeshindwa kabisa kutatua hii kero???
wahusika mmeshindwa kabisa kutatua hii kero???