Duh! Sijui leo vipi hata Mbezi kibanda cha mkaa kuna ajali kuna mtu amegongwa nahisi kama amekufa (kwani sikushuka kuwa na uhakika) polisi wenye DFP walifika pale.
Madereva wa Bodaboda na Bajaj wanatakiwa wapewe mafunzo ya matumizi salama ya barabara. Mfano barabara za njia 2 upande mmoja unakuta Bajaj ama Bodboda kulia wkt speed yake ni ndogo sana,ama wakati mwingine wanakaa kulia na kushoto,gari zinashindwa ku-overtake na kusababisha foleni!
Nashauri usafiri huu upigwe marufuku kwa baadhi ya barabara muhimu,hasa muda wa asubuhi na jioni ili kuweza kupunguza ajali na kero nyingine!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.