muhandu JF-Expert Member Sep 25, 2011 311 82 Oct 19, 2011 #1 Wanaofanya ujenzi wa barabara kipande cha banana-g/lamboto hawawezi kujenga usiku?au ndo wanaka waonekane kuwa wanafanya kazi?nadhani usiku ni muda muafaka kwa shughuli hiyo.
Wanaofanya ujenzi wa barabara kipande cha banana-g/lamboto hawawezi kujenga usiku?au ndo wanaka waonekane kuwa wanafanya kazi?nadhani usiku ni muda muafaka kwa shughuli hiyo.