Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
- Thread starter
-
- #41
Mkuu hapo kwenye Rangi unamaana gani? Miaka 50 ndio wanayakumbuka hayo?
Wadau,
Serikali yetu sikivu, kupitia chama kilichopewa ridhaa ya kuongoza nchi na wananchi weengi, imetangaza bungeni kupitia jemedali MAGUFURI kuwa pesa zimetengwa kwa ajili ya flyover Tazara.
Tuiunge mkono serikali ya JK katika kutimiza ahadi.:israel:
Tume ya Katiba,
Usipende sifa kwa Dhaifu . Kabla ya kuongea flyover you need to have a complete design . Huwezi kuwa na fly over Tazara bila ya maana Kama haitapita mpaka Buguruni you also have to block the crossing at Machinjioni Temeke and also sove the crossing at Kilwa Road .
Huo upuuzi wa Magufuli na hao Tnaroads who can't think beyond their noses and the CEO hawawezi kuondoa foleni Dar. How do you design Rapid transport on a section of road not exceeding 15Km and dream that it's going to work? For a serious undertaking you need more smart thinking. CCM is a tired horse which has to be retired very soon.
Ubungo vipi? mbona ubungo ndio pana congestion ya kutisha kuliko Tazara? au tunataka kuonyesha wageni wanaopita hapo toka Airport kwamba nasi tuna FLyover?
Hapa ndo Tanzania inapotia kinyaa! Ethiopia nchi isiyo bahari na iliyokumbwa na majanga ya kimaumbile hasa ukame na ya kisiasa (vita na mapinduzi ya kijeshi), kimiundo mbinu iko mbele kuliko Tanzania iliyojaaliwa na kila kitu na bado tunalishwa ahadi tu.
Hongera sana Waziri Magufuri ni mpango mzuri wa kuondoa foleni kwenye Jiji letu la Dar es Salaam, naona kazi zinafanyika ukipita barabara ya Morogoro unakutana na Strabag Kampuni kutoka Ujerumani wanatengeneza barabara za mabasi yaendayo kasi.
Kwani katika jiji zima la Dar wameona junction ya Tazara tu. Vipi ubungo na junctions nyingine kibao zilizopo Dar na hata kwenye majiji mengine?
Hizo wamemuachia nani? Nafikiri wamewaachia chadema waje kuzifanya 2015. Na hiyo flyover ni lazima itajengwa chini ya kiwango maana fedha ni lazima ziliwe. Embu angalia Kilwa road jinsi ilivyooza na ni barabara ya juzi tu.
Ninaiambia serikali kwenda kujifunza kwa wakenya na Waethiopia. Sio kutuletea maendeleo ya "peremende danganya toto"
Acha kutetea udhaifu wa serikali, Miaka yote hamsini ambayo wametawala nchi hii, wangekuwa wameshazikamilisha hizo flyovers za Dar endapo wangekuwa ni visionary. lakini kwasababu ya kutoona mbele, walifikiri magari yataendelea kubaki idadi ileile ya mwaka 1961. Kuwa na serikali isiyoona mbele ni shida tupu. Kwani nchi kama Botwana zilizoendelea kimiundombinu zilifanyaje? Serikali Dhaifu kabisa ya Chama cha mapinduzi. Fedha za maendeleo wanazo kidogo lakini za kuiba na kukimbizia kwenye mabenki ya nje wanazo nyingi. Endelea kuwaunga mkono.Kwahiyo unataka waanze kujenga kote tu kama matahira? Sio kitu cha haraka haraka kama unavyodhani! Wangeweka hela nyingi bado ungelalamika "yaani wanachezea hela kuiga miundo mbinu ya kizungu tu! Bara bara hizi hazitoshi?". Tujifuze kuelewa.