Fly over kujengwa Mloganzila

Ok, searching it. I"ll be back
 
Wanazidi kuniwekea kibaha kwangu kama ulaya vile, karibuni kibaha
 
Mwanzoni mwa uzi huu, nilitaka CV ya huyu mtu. Mbona hujaiweka hdi sasa ikiwa amewahi kufanya mambo makubwa hivyo? Sikubali awekwe the same level na akina JK Nyerere, R.M. Kawawa na akina Sokoine
Basi utawekwa wewe.
 
Lakini serikali ilipaswa kutoa taratibu za ujenzi kwa watu wake fikiria tangu 1932 hadi labda mtu alijenga miaka ya 70 hadi 80 angejuaje. Watendaji wa barabara na waziri wa ujenzi. Kwa tawala zote walikua wapi wasitoe maelekezo kwa wananchi ?
 


Mlogazira flyover ya nini?
 
Kama mbezi hakuna interchange basi huu mradi ni wa ovyo.
 
Kama mbezi hakuna interchange basi huu mradi ni wa ovyo.
Nakubali, kama Mbezi hakuna interchange au flyover basi project ina mapungufu makubwa. Ila kuna jinsi wanataka kufanya pale ili magari yasikatize sana, huenda foleni ikapungua kwa kiasi kikubwa.
 
Shida kubwa sana ni miji kutokupangwa manake ni mhimu miji hii iwe imepangwa vzr iendane na mahitaji ya watu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…