KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,880
- 40,040
wabongo kamwe hawawezi kufanya hivyo kwa kuwa tuna roho ya kwanini na chuki za ajabu.....hasa kwa watanzania wenzetu........na usiombe usaidiwe mbongo....itabidi umwabudu ili asiyaweke ma file yako hadharani......wabongo nuksi sana.....usiwaone wanakuchekea tu unavyopita na kigari chako..........hivi haiwezekani kweli mtu akamfanyia taratibu francis cheka na kumhamishia marekani kisha kuwa manager wake na kupiga hela!?...watz mliopo huko hebu oneni fursa iyo!
ni sawa kaonyesha uwezo wa hela aliyonayo, ila ki roho safi kabisa mie namuona limbukeni tu, migari yote hiyo ya nini, inamaana yeye kutwa nzima yuko barabarani? Si ajabu mtu km billget akawa navigari viwili na kidege cha safari za haraka, lakini kawekeza kwenye mambo yanayitoa ajira duniani, sasa unaweka picha ya migari miiiingi ili nini? Magari si utajiri, utajiri ni kutoa ajira kwa wenzako, km akina dangote na bakheresa.
Hata ikiwa haujajumuisha kodi lakini bado hiyo hela sio ya kufananisha na bajeti ya nchi,$6M ni kama bilioni 11 in Tshs so hata tukadilie kaoverpay tax ikawa bilion100tshs still haifikii bajeti ya nchi coz bajeti ya nchi ni in terms of 10's of billion dollars.
Next time usikurupuke.
Even God isn't fair sometimes. Mtu hajaiba, mnamuona anafanya kazi nzito. We unafikiri kukwepa ngumi nzito za usoni ni kazi rahisi?? Jaribu na ww kujishughulisha sn, hta kama hautalipwa kma rate za ulaya, but you'll have something to show us kwa achievement za level ya kibongo bongo.
Sent from my iPad using JamiiForums app
Only one of his showtime boxing match is more than enough to buy them all..
Asije kuharibiwa nerves zake kama Moh'd Ali. Uzee hautakuwa na raha.
Vyote hivi ni ubatili na kujilisha upepo