GE2025 Florence Samizi kuboresha huduma za afya Muhambwe

GE2025 Florence Samizi kuboresha huduma za afya Muhambwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Mgombea Ubunge Jimbo la Muhambwe kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Florence Samizi, ambaye anatetea kiti chake amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne iliyopita Jimbo la Muhambwe lilipokea zaidi ya Bilioni 50 ambazo zimejenga miundo mbinu mbalimbali ikiwemo sekta ya Afya hivyo kuboresha huduma za afya na kupunguza vifo vya akina mama wajawazito, Watoto na wazee ambao wangeweza kufariki kwa kukosa huduma bora za afya.

Soma pia: Mbunge Samizi asimama bungeni kuuliza swali kupambania ujenzi wa stendi ya kisasa Muhambwe

 
Back
Top Bottom