Leo katika sherehe za muungano kwenye TV nimemwona Flora Mbasha akiwa kwenye sherehe huko Zanzibar je alialikwa kwenda kuimba au alialikwa tu kuhudhuria sherehe? Maana sikuona akiimba.
Kwani waliomuinua ktk siasa walikuwa wapi?
A comfort girl!
Leo katika sherehe za muungano kwenye TV nimemwona Flora Mbasha akiwa kwenye sherehe huko Zanzibar je alialikwa kwenda kuimba au alialikwa tu kuhudhuria sherehe? Maana sikuona akiimba.
Leo katika sherehe za muungano kwenye TV nimemwona Flora Mbasha akiwa kwenye sherehe huko Zanzibar je alialikwa kwenda kuimba au alialikwa tu kuhudhuria sherehe? Maana sikuona akiimba.
Hivi Rose mhando,upendo nkone na waimbaji wengine pia wa injili walikuepo?kama jibu hapana basi ndio hapo utajua huyu dada anaimba kwa minaajili hani na utaelewa si wote wanaoimba kumsifu Mungu wanamsifu kweli bado wako kibiashara zaidi.
Hizi ni nymba za watawalaLeo katika sherehe za muungano kwenye TV nimemwona Flora Mbasha akiwa kwenye sherehe huko Zanzibar je alialikwa kwenda kuimba au alialikwa tu kuhudhuria sherehe? Maana sikuona akiimba.
Leo katika sherehe za muungano kwenye TV nimemwona Flora Mbasha akiwa kwenye sherehe huko Zanzibar je alialikwa kwenda kuimba au alialikwa tu kuhudhuria sherehe? Maana sikuona akiimba.
Chakula Cha Mwanasiasa Hicho,ndo Maana Kakimbilia Gest Akasuguliwe Kisawasawa
Huyo flora anamnyima mumewe unyumba had anabaka??