Flirting. . .

Itabidi nitengeneze Cheatmeter, iwe inapima kiwango cha cheat ili adhabu itolewe kwa kiasi hicho hicho.

Yummy,kwa viwango tulivyojiwekea leo ujue ume cheat hapo,shauri lako.
 
Kaizer, huu utani wa tindikali.

Sasa basi tukiendelea na hii sredi,m hivi NN na Husninyo huwa wakifanyaje....? LOL, I guess NN atakuwa anammiss sana Husn, isije ikawa flirting imesababisha ajitoe humu JF? Tunaweza kuanzia hapo
 
Last edited by a moderator:

NN sijasema kua kila ane flirt maana yake kacheat. Ikiwa wewe na mpenzi wako mmekubaliana hakuna flirting, then anakuta you have been flirting with JF members, then yes you are cheating. But if she has just a mild irritation when she sees you flirting and you have been doing that to tease her mood basi sidhani kama ni cheating.

Halafu huo mfano wako... please...:mmph:
 

Kitu kikifanywa kwa utani sio guarantee kwamba hakimaanishwi. Kama huwezi kutaniana na mwenzi wako basi kazi unayo.
 
Hivi Bishanga, hapa ninaflirt na wewe?

Hivi leo umekula akili zako, ila unanichekesha.

Mkuu kwa vigezo vipya tulivyopangiwa na wakuu kupitia thread hii hapo tayari ume cheat na smile n dugu yangu.
 
Last edited by a moderator:

:bump::car::car::car::car::A S-omg:
 
There must be something wrong with my eyes, I can't take them off you.

'simple flirt quotations ',nijuavyo wanawake ndo mabingwa wa mitego hii ya kihasara hasara
Quotation zenyewe za kishamba hivyo?
 
eti wewe huwezi kuflirt sababu una ni nyoka wa maonesho anakula unga tu.

Watu wabaya sana walosema haya.

Mkimaliza huu mjadala mniambie nami nianze kuflirt na wajukuu zangu.....
 

Ahlaan wasahlaan my dada.....................you mean hata soda ina jinsi ya kufungua sio......ukipaparika umeivunja......na watu watakuona how come!!!!!!!!! Au kama champaigne......harusini ukapiga splash kama ya formula one na kuwachafua watu watu suti zao.................iiiiiiiishhhhhhhhh

You remain to be superb
 
eti wewe huwezi kuflirt sababu una ni nyoka wa maonesho anakula unga tu.

Watu wabaya sana walosema haya.

Tobaaa.. Kongosho mi simo..ngoja nimpigie Hommie wangu Asprin sasa hivi...huwezi kumdhalilisha kiasi hiki umejiamini nini? khaaa
 
Last edited by a moderator:
nitaliki Kongosho ya moyo, ntaishije?

Ha ha ha ha, nimejibu tu wifi, (unataka nijifunge hadharani)

Kongosho. . . .Nimeuliza tu wifi maana nawe humo, au baba mwenye nyumba ana talaka ya muda?
 
Last edited by a moderator:
nitaliki Kongosho ya moyo, ntaishije?

Ha ha ha ha, nimejibu tu wifi, (unataka nijifunge hadharani)

Na mimi nimeuliza tu wifi, usikute mwenyewe hupendi kutendewa ila unapenda kutenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…