Flat Scree, Godoro na Kitanda cha Kisasa!

Flat Scree, Godoro na Kitanda cha Kisasa!

BANGO JEUPE

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2015
Posts
3,088
Reaction score
2,174
Nimenunua vitu vingine so hivi nauza kwa anayehitaji tuwasiliane
simu No. 0718 295 182
mahali: kigamboni(Dar)

Flat Screen 23'' + king'amuzi Tsh. Laki 3

Godoro 10 inch (5*6) Tsh. Laki 2

kitanda cha kisasa kabisa Tsh. laki 4

vyote viko katika hali nzuri sana!


Bango
 
Sasa mbona unauza bei za vitu vipya mkuu....mfano hilo godoro ni aina gani?? Maana dodoma ndio yanasifika ..jipya dukan ni laki mbili na 30 had 20...tv hujasema kingamuzi cha aina gani? Afu imetumika how long...kitanda cha kisasa kikoje?? Tangazo liko absolutely faint ...picha ihusike na maelezo ya kina
 
Nimenunua vitu vingine so hivi nauza kwa anayehitaji tuwasiliane
simu No. 0718 295 182
mahali: kigamboni(Dar)

Flat Screen 23'' + king'amuzi Tsh. Laki 3

Godoro 10 inch (5*6) Tsh. Laki 2

kitanda cha kisasa kabisa Tsh. laki 4

vyote viko katika hali nzuri sana!


Bango

Japo kapicha tu
 
Vitu vyote hivyo ni bei ya vitu vipya,madalali acheni tamaa utakuta hapo mwenyewe amekuonyesha na amekupa bei ya chini kabisa lakini nyie mnapandisha bei.
 
Iyo flat screen aina gani na bila king'amuzi itakua kiasi gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom