Anaposema frequency response ni mfano 100 hz anamaanisha nini?Vizio M series and Elevate Series
View attachment 3361416
TZS 460,000/-
View attachment 3361417
TZS 680,000/-
View attachment 3361419
TZS 1,380,000/-
View attachment 3361422
TZS 1,600,000/-
Ndio ile hapo juu ya 1,600,00 aliyoonyesha mdau?Wakuu, hii Vizio M512a_h6 ni kisanga, inagonga balaa hadi nahisi father house atanifukuza nisije nikatia nyufa nyumba yake🔥🔥🙌🙌
Sauti inasafiri kwa njia ya mawimbi kama mawimbi ya bahari. Mawimbi hupanda na kushuka kwa hiyo kipimo cha mawimbi Hz inamaanisha ni mara ngapi mawimbi yanajirudia kwa kila sekunde.Anaposema frequency response ni mfano 100 hz anamaanisha nini?
Asante kwa ufafanuzi MkuuSauti inasafiri kwa njia ya mawimbi kama mawimbi ya bahari. Mawimbi hupanda na kushuka kwa hiyo kipimo cha mawimbi Hz inamaanisha ni mara ngapi mawimbi yanajirudia kwa kila sekunde.
Kwa hiyo mawimbi ya 100Hz maana yake ni kwamba yanapanda na kushuka mara 100 kwa kila sekunde.
Spika za sound system zinapimwa uwezo wake kwa frequency response yaani frequency zinazokufikia wewe masikioni ni kiasi gani.
Kadri frequency zinavyopungua ndio sauti inashuka(bass) na frequency zinavyopanda ndio sauti inapanda(treble). Kwa hiyo spika kubwa mfano subwoofer zinatoa sauti yenye mawimbi makubwa machache kwa sekunde na spika ndogo mfano tweeters zinatoa sauti ya mawimbi madogo sana mengi kwa sekunde.
Hiyo ya 680,000/- ila sehemu nyingine wanauza mpaka 750,000/-Ndio ile hapo juu ya 1,600,00 aliyoonyesha mdau?
Ok, kwahio inagonga balaa?Hiyo ya 680,000/- ila sehemu nyingine wanauza mpaka 750,000/-
Vijana wa arborder wanaona kama unachezea hela,kikubwa woofer itoe sautiYap, kesho navuta hiyo ya 1,100,000/-
Soundbars za Hometech hazina tofauti na subwoofer za Hometech. Ukiangalia hata bei zinaendana. Huwezi kutarajia chochote cha ziada kwenye soundbar ya 250k au 300k. Hizo ni stereo systems za kawaida za kichina. Kama ukinunua utakachopata ni kile tu unachopata kwenye subwoofer za kichina.Mkuu unawaongeleaje hawa Hometech kwa upande wa sound bar?
CORAL
Safi sana. Hii tunaita vyenye garama ni vizuri.Hiyo ya 680,000/- ila sehemu nyingine wanauza mpaka 750,000/-
hapanaNdio ile hapo juu ya 1,600,00 aliyoonyesha mdau?
Wacha nijipige niipate hata hiyo Vizio ya 680k kusupport flat screen ya ukubwa wa 55Soundbars za Hometech hazina tofauti na subwoofer za Hometech. Ukiangalia hata bei zinaendana. Huwezi kutarajia chochote cha ziada kwenye soundbar ya 250k au 300k. Hizo ni stereo systems za kawaida za kichina. Kama ukinunua utakachopata ni kile tu unachopata kwenye subwoofer za kichina.
ila wabongo mnapenda sifa sn eti kusupport 55 inch tv lengo tujue una tv ya 55 inch wkt unataka kununua sb ya lak 2 iyo ya lak 6 mpk ujipgepge aaahaahaaha.Wacha nijipige niipate hata hiyo Vizio ya 680k kusupport flat screen ya ukubwa wa 55