Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Sasa si angemuuliza kwenye PM?Aliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.
Samahani kama nimekukwaza.
Sasa si angemuuliza kwenye PM?Aliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.
Hasa wale wakware.Avatar ya FL1 imeathiri wanaume wengi sana humu jamvini.
Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)
I love you FL1
**********
Duh!!!!!!!!!!
Nawahi Tilapia Hotel Kunywa Serengeti
haya sasanahitaji kujua machache ya huyu dada/mama sina nia mbaya hata kidogo...sidhani kama kuna ubaya mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie
fl1 samahani najua sijakukwaza kama nilivyowakwaza wengine ,niko serious ingawa wengine mnaniona kama ..i know nothing
nakuomba dada wa kwanza ..usikwazike narudia tena sijawahi kuona una-argue na mtu naomba mie nisiwe wa kwanza
kutoa topic hii naelewa wote mlioko hapa ni watu wazima na hekima zenu ...
pls tuwe na amani huu mwezi wa toba
Dah! Ukiwa kwenye nyumba ya vioo usianzishe vita ya mawe! Egyps-women angalau umeomba msamaha kwa binamu yangu! Maana ulishamkwaza!
we si umesema umeondoka na mafuriko?
Hapa ndipo paliposababisha vikwazo:Nimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta
I love you FL1
**********
haya sasa
Aliyeulizwa ni FL1, sasa wengine kinyege nyege cha kuchangia mada hii kinatoka wapi? sorry kama nitawakwaza.
kalasgeoff siko kama unavyodhani broda ..usiniharibie kwarezima yangu
khee maana nikahis likizo iliisha juuu kwa juu mi sina taarifa!!!
Haya sasa! Si unaona tena haya mambo? Maskini FL1 wetu kashajipotezea kwa hofu!nahitaji kujua machache ya huyu Dada/Mama sina nia mbaya hata kidogo...sidhani kama kuna ubaya mwanamke kumpenda mwanamke mwenzie
tuwe na amani huu mwezi wa Toba
Sasa si angemuuliza kwenye PM?
Samahani kama nimekukwaza.
aaah umenikwaza bana Kaitaba!!!
tunachangia kwa kuwa pia amesema anauliza kwa niaba ya JF MEMBERS....EBOO!!!!
samahani kama nimekukwaza mkuu
LAKINI MASWALI MENGI YA MUMEWE YA NN?SHIFA YAKO NI YY MUMEEEEEEEEEEE!,WIVU SINA ILA ROHO INAUMANimesoma Profile yako sijapata nilichokuwa natafuta nilikuwa natafuta...............
Nimekutumia PM bila majibu..umeni-ignore (not fair)au ulikuwa busy dadangu?
Kupitia Post yako ya leo najisikia kumwambia mme wangu nampenda …ni kweli umeolewa ?? Ni kweli ulikuwa unamanisha ?hongera kwa kuolewa na unaonyesha mapenzi ya dhati kwa mumeo
Kupitia post ya Pearl .. 1st lady: mcha Mugu,anampenda mumewe,anapenda kazi,mdada mwenye heshima zake....
Naomba kwa niaba ya wana JF utujuze mmeo ni nani ndani ya JF ..kama kweli unampenda ..tumjue shemeji yetu ..?shemeji atakuwa amepata mke mwema na bora atokae kwa Mungu
Je michango yako katika jukwaa la mapenzi na mapendo (mzee hasikii wivu)mumeo muelewa eeeh?mutakuwa unafurahi kupata mume bora kama yy
I love you FL1
**********
Hapo Mamushka wala hujamkwaza. Kwa kweli kabisa hamna kikwazo hapo!