Kwa amount hyo....hutaona tofauti...benk nying zinatoa 7 au zaid% but kwa amount kubwa kubwa say angalau 10 mil kwenda mbele huko....mie nadhan kulinda thamani ya hela yako...nenda benki....( kwa maoni yangu crdb ni better) fungua akaunt ya mtoto ya usd ....then badilisha hela zako kuwa dola...nenda kaziweke mule kwenye account. Hii italinda thamani ya hela.yako....lakin pia siku unaitaka utauza dola zako kwa bei nzuri...ambayo itakuwa above faida ya riba ambayo ungepata
Na pia akumbuke dola nazo zinapanda na kushuka kila siku so ategemee yote pia kuweka fixed hela ni lazima uwe nayo cash sio ya kuweka mara kwa mara so mdau jiandae na cash yako mkononi watakutunzia vizuri tu....faida ni ndogo sana kikubwa ua money will be safe na utatimiza malengo yako kwa wakati