Polepole..usitarijie kukuta hata mfupa
Sio fisi ni mbwa mwitu lakini ni pale mmoja anapokamata nyama na kuipiga peke yake wakati wengine wana njaa ndio wanamshughulikia. Ila ni taarifa zizizo na uthibitisho.Tuliambiwa kwenye moja ya uzi uliokuwa unaelezea facts za fisi eti akila huwa hajisambazi damu mdomoni na endapo akijisambaza wenzake watamla
Yule jamaa alitupiga fix kweli
huyu huwa ni mzee au kijana?hili swala tangu nimeulizwa sijawai jibiwa kama una number zake naomba unipe nimuulize
huyu huwa ni mzee au kijana?hili swala tangu nimeulizwa sijawai jibiwa kama una number zake naomba unipe nimuulize
Duuuh! hahahaNi sawa na kumkaribisha Chenge akusaidie kuhesabu mabilioni yako, hutakuta hata thumuni
Mkuu ni mbwa mwitu bhanaTuliambiwa kwenye moja ya uzi uliokuwa unaelezea facts za fisi eti akila huwa hajisambazi damu mdomoni na endapo akijisambaza wenzake watamla
Yule jamaa alitupiga fix kweli
Ilikua mbwa mwitu bhana wolfTuliambiwa kwenye moja ya uzi uliokuwa unaelezea facts za fisi eti akila huwa hajisambazi damu mdomoni na endapo akijisambaza wenzake watamla
Yule jamaa alitupiga fix kweli
Wewe unamsingizia Chenge, yeye hachukuagi yote ni billion moja tu, mabilioni mengine anawaachia wenyeweNi sawa na kumkaribisha Chenge akusaidie kuhesabu mabilioni yako, hutakuta hata thumuni