Fish green curry

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,145
9,207
Fish green curry
(ingredients)

1. samaki mzima { kwangua na kata nyama ya juu halafu katakata viapande vidogo hakikisha hakuna miba}
2. vijiko viwili vya green curry paste (table spoon)
3.mafuta ya kupikia ( table spoon )
4. kitunguu kimoja kikubwa {katakata vipande vidogo}
5. Kitunguu saumu kizima {twanga}
6. Mafuta ya samaki { tablespoon}
7. Brown sugar {teaspoon}
8. unga wa ngano { teaspoon}
9. Maji ya nazi {Nazi moja}
10. Coriander {handful}
11. Pilipili moja {ondoa mbegu}

kaanga kitunguu maji mpaka kiwe rangi ya brown, weka curry paste, {utanusa harufu taamu}
weka kitunguu saumu na pilipili {kwa dakika mbili koroga}, weka maji ya nazi...
acha mpaka mchanganyiko uwe mzito.........
malizia kwa kuweka samaki {acha kama dakika 10}
(kama hutaki waive sana punguza dakika)
Before serving mix in coriander...
Serve on rice...

:)yaaaaaaaammm :)
ENJOY


 
Fish green curry
(ingredients)

1. samaki mzima { kwangua na kata nyama ya juu halafu katakata viapande vidogo hakikisha hakuna
miba}
2. vijiko viwili vya green curry paste (table spoon)
3.mafuta ya kupikia ( table spoon )
4. kitunguu kimoja kikubwa {katakata vipande vidogo}
5. Kitunguu saumu kizima {twanga}
6. Mafuta ya samaki { tablespoon}
7. Brown sugar {teaspoon}
8. unga wa ngano { teaspoon}
9. Maji ya nazi {Nazi moja}
10. Coriander {handful}
11. Pilipili moja {ondoa mbegu}

kaanga kitunguu maji mpaka kiwe rangi ya brown, weka curry paste, {utanusa harufu taamu}
weka kitunguu saumu na pilipili {kwa dakika mbili koroga}, weka maji ya nazi...
acha mpaka mchanganyiko uwe mzito.........
malizia kwa kuweka samaki {acha kama dakika 10}
(kama hutaki waive sana punguza dakika)
Before serving mix in coriander...
Serve on rice...

:)yaaaaaaaammm :)
ENJOY



Me Napenda Miba tena ile iliyokauka kutafuna inatoa Sauti ile ya Kaukau..
 
Back
Top Bottom