Fisadi Benjamin Mkapa yuko na fisadi Edward Lowassa

Rev. Mtikila

R I P
Joined
Dec 1, 2008
Posts
3
Reaction score
34
Salaam Wana wa Tanganyika'
 

Attachments

Nimesoma Nimeelewa Rev.Mtikila kama kweli ni Id yako karibu sana.

IKULU SI YA BABAKO
 
Last edited by a moderator:
Kwani ccm kuna ambaye siyo fisadi?mamvi atakufa kwa presha
 
Mchungaji asante kwa taarifa, ninakujua na ninakuamini kwa ujasiri na umahiri wako wa kufungua kesi mahakamani na kushinda.

Tumeshindwa kupata katiba mpya, kwa katiba tuliyonayo (1977), hatuwezi kuwa na uchaguzi ulio huru na wa haki. Tunahitaji tume huru ya uchaguzi lakini tunahitaji pia demokrasia pana zaidi kwa kuwa na mgombea binafsi.

Nikuombe tafadhali uiombe mahakama itusaidie kutatua mgogoro wa mgombea binafsi na tume huru ya uchaguzi, wabunge wetu wametuangusha, wananchi hatuna imani na tume iliyopo. Mgombea binafsi angepunguza minyukano pia ndani ya vyama ambayo inatishia hata amani ya taifa hili.
 
Naona Rev.Mtikila umeamua kuja kwa kasi humu JF, vipi tuambie pia upo kambi ipi ya wanaCCM?
 
Mtikila katika ubora wake.karibu sana jf
 
Pelekeni Lowassa jera ili mliponye taifa letu maana genge la walanguzi linamtumia kufikia malengo yao,
 
Kumbe Mkapa nae ni mshezi huyo upande wa wezi wakati kuna vijana wake walimsaidi katika kipindi chake vizuri lakini hawaoni kama wanamaana bali anaungana na wezi ,
 
Kumbe anataka waigie wezi ili wasiwe na nguvu ya kufatilia issue yake ya Kiwira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…