chama mpangala
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 623
- 942
Wadau Mwenye taarifa namna ya kupata admission atujuze
Hahaha mwambie huyo naona ana mzuka sana na white universityHlo Lako N Vgumu,maana Adimsn Ltr Hutolewa Kwenye System Na Sio,ka Xul Za Secondary ,karbu Udom
Wadau Mwenye taarifa namna ya kupata admission atujuze
Karibu COES ingawa hiyo kozi nyie ndio mnaenda anzisha.
Ahsante mkuu, kwa hyo tunapanda daladala za wap kufika hostel?
Nami ntakuwepo informatics kupiga software engineering
Hahaha mwambie huyo naona ana mzuka sana na white university
utapanda zilizoandikwa jamatini-education.
kisha utashuka,info one or two
Karibu sana Informatics, mi nipo Software engineering 3rd year