KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,097
- 1,356
Kama ilivyokuwa toka kitambo kwa kijana wa kitanzania akimaliza form six na akabatika kupata nafsi ya kujiunga na chuo huona km sasa yeye ni specially kwa mambo yote ya kisomi na kijamii nakujisahau kuwa kuna magwiji na experienced people wako kitaani ata hizp mijisifa anayojipa mwenyewe wenziwe hawaoni km inawasatahili maana ni kawaida sana...
Sasa leo katika pitapita zangu za kusaka michongo ya noti nikakutana kabana pua kamoja na kigori mmoja kwa uzoefu wangu wa 5 yrs mjini nikihaso baada ya safari ya miaka 3 hapo udsm na uzoefu wa miaka km 15 na ushee wa harakati za kusaka mapene nikawagundua hawa first year.
Hawana cha kuonesha kuwa ni wasomi zaidi ya lugha iliyokuja na meli hapa namanisha kiinglish au kikiristo hawa madogo katika kukigonga mara nikamsikia yule kidogo akimjibu mwenziwe;
" It has never happen before".
Kilichonifanya nikagundua ni umakini wangu kwa kuwa wamevuta attention yangu kwa ujasiri wa kuzungumza hadharani bila shuruti lugha hii ambayo ni tishio ky6 hwa watanzania wengi pamoja na rais wetu....????
Si hilo walilokosea ni mengi sana hilo kosa moja tu.
Ushauri wangu usijifanye kuongea ongea sana hii lugha kwa minajili ya kujichukulia maujiko ya bure km hauna uhakika na competence yako...!
Wengine si kwamba hatujui ila kuzungumza mpaka kuwepo na shuruti fulani mfano kwente interviews kunyamaza au kutumia kiswaz kimetupatia maujiko zaidi ya madharau...!
Kwanza hongera 1st year kwa kujitutumua kuongea lugha ya Malkia kwasababu kuanzia sasa hiyo ndo lugha yako ya kila siku Kitaaluma.
Kuhusu wewe mleta uzi, waungwana husema kwa vitendo, ungeweza kumsaidia huyo First Year wako kwa kumuelekeza kwa utaratibu bila shaka wakati mwingine angeweza kutamka maneno kwa ufasaha mkubwa.
Kitu cha ajabu sana kwa tulio bahatika kufika au kuishi na hao wenye lugha, hawana kebehi wala sikuwahi kuwaona au kusikia wakimcheka mtu kwa kukosea lugha yao. Ni ulimbukeni tu kuona mtu kashindwa kutamka sentesi kwa mtiririko wake basi nawe faster unakuja kujadili mitandaoni.
Huyo lazima atakuwa shishi tuMkuu Bora ukutane na Mzungu kidogo Mtaelewana kuliko Hao First year
Wana kingereza kibovu Mno kama Ra...!wetu.
kuna Mmoja nilimsikia Akisema;
"She Is A Boy"
sasa mtu kama huyu utamsaidiaje?
Labda ni kile kiingereza cha shiloleMkuu Bora ukutane na Mzungu kidogo Mtaelewana kuliko Hao First year
Wana kingereza kibovu Mno kama Ra...!wetu.
kuna Mmoja nilimsikia Akisema;
"She Is A Boy"
sasa mtu kama huyu utamsaidiaje?
Wamekusikia vizuriiiiiKama ilivyokuwa toka kitambo kwa kijana wa kitanzania akimaliza form six na akabatika kupata nafsi ya kujiunga na chuo huona km sasa yeye ni specially kwa mambo yote ya kisomi na kijamii nakujisahau kuwa kuna magwiji na experienced people wako kitaani ata hizp mijisifa anayojipa mwenyewe wenziwe hawaoni km inawasatahili maana ni kawaida sana...
Sasa leo katika pitapita zangu za kusaka michongo ya noti nikakutana kabana pua kamoja na kigori mmoja kwa uzoefu wangu wa 5 yrs mjini nikihaso baada ya safari ya miaka 3 hapo udsm na uzoefu wa miaka km 15 na ushee wa harakati za kusaka mapene nikawagundua hawa first year.
Hawana cha kuonesha kuwa ni wasomi zaidi ya lugha iliyokuja na meli hapa namanisha kiinglish au kikiristo hawa madogo katika kukigonga mara nikamsikia yule kidogo akimjibu mwenziwe;
" It has never happen before".
Kilichonifanya nikagundua ni umakini wangu kwa kuwa wamevuta attention yangu kwa ujasiri wa kuzungumza hadharani bila shuruti lugha hii ambayo ni tishio ky6 hwa watanzania wengi pamoja na rais wetu....????
Si hilo walilokosea ni mengi sana hilo kosa moja tu.
Ushauri wangu usijifanye kuongea ongea sana hii lugha kwa minajili ya kujichukulia maujiko ya bure km hauna uhakika na competence yako...!
Wengine si kwamba hatujui ila kuzungumza mpaka kuwepo na shuruti fulani mfano kwenye interviews, kunyamaza au kutumia kiswaz kumetupatia maujiko zaidi ya madharau...!
๐๐๐๐๐๐Duuuuh asa cha ajabu nin apo.. hakuna ambay yuko sawa kwa kila kitu. Nkajua ww ndo utaonesh usomi wako apa kumbe warereee tyu
umenifundisha ki2 ngoja siku iz wakinikamata nawatemea ngeli kubaaf hawa tena nafanya kosa makusudi navuka taa nyekundiUkitaka kuliamsha dude askari barabarani akikusimamisha msemeshe lugha ya malkia wanachukia kweli yaani anafura hatar, iko siku nlikuwa nimetupia kama black america akaja traffic wa kike nikampasulia sleng ya hatar akatia tobaaa yarabi go u go huku akicheka hatar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo lazima atakuwa shishi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenifundisha ki2 ngoja siku iz wakinikamata nawatemea ngeli kubaaf hawa tena nafanya kosa makusudi navuka taa nyekundi