Bado mkuu hata mm niliomba hizo post
Kwa hiyo kwa kuwa hata wewe uliomba ndo itakuwa bado.? We sema tu hujui kama wameitaBado mkuu hata mm niliomba hizo post
Mkuu upo TRA au FNB??Bado hata hatujaanza kupitia maombi yenu.
Wewe ndo unachanganyikiwa.....hii post ya 2015....hata deadline bado...ni kuchanganyikiwa au ni nin hiki?
Huyo Dada msamehe tuu namuonea huruma.Wewe ndo unachanganyikiwa.....hii post ya 2015....
Huyo msamehe tuu namuonea huruma Mungu amsaidie.Wewe ndo unachanganyikiwa.....hii post ya 2015....