KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 83
Anafaa kwenda Zenj..mambo ya mbogamboga na mikate si unajua tena, lol!
Safi sana mama Obama,mimi sijui hapa kwetu anafanya shughuli gani ya mfano maana kama taasisi zipo nyingi
batiki!wa kwetu anapenda nini?
Kufukia dawa za kiganga.Wa kwetu anapenda nini?
Wa kwetu anapenda nini?
Kwa iyo??ANAPENDA MBOGA MBOGA SANA HIVYO NDANI YA WHITE HOUSE AMELIMA BUSTANI KUBWA ,NA HUSHIRIKIANA NA WANAWE WAWILI SASHA NA MALIA ,AMEPANDA ZAIDI YA AINA 55 ZA MBOGA MWAKANI AMEPANGA KUTOA KITABU KUHUSU MAMBO YA MBOGAMBOGA JE HUU SI MFANO WA KUIGWA.