First lady

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
83
ANAPENDA MBOGA MBOGA SANA HIVYO NDANI YA WHITE HOUSE AMELIMA BUSTANI KUBWA ,NA HUSHIRIKIANA NA WANAWE WAWILI SASHA NA MALIA ,AMEPANDA ZAIDI YA AINA 55 ZA MBOGA MWAKANI AMEPANGA KUTOA KITABU KUHUSU MAMBO YA MBOGAMBOGA JE HUU SI MFANO WA KUIGWA.
 
Safi sana mama Obama,mimi sijui hapa kwetu anafanya shughuli gani ya mfano maana kama taasisi zipo nyingi
 
Anafaa kwenda Zenj..mambo ya mbogamboga na mikate si unajua tena, lol!
 
Sisi first lady wetu naye ni Rais anapambana na wapinzani majukwaani kumtafutia mme wake ulaji zaidi, hana muda wa kulima bustani.
 
Safi sana mama Obama,mimi sijui hapa kwetu anafanya shughuli gani ya mfano maana kama taasisi zipo nyingi

naskia 1st lady wetu ni naibu waziri mkuu anasubr kuapshwa tu sasa atafanyaje shughuli kama hzo..
 
I really like this lady.... She is herself always...
 
First lady wetu, kutwa kwa mafundi kushonesha nguo. Misafara yake inatuletea foleni tu barabarani.
 
mm nilifikiri ni first lady wa hapa jf bana, fl wa jf upo?
 
Kwani First lady wa USA hana ''WAMA" yake kama wa kwetu hapa bongo?
 
ANAPENDA MBOGA MBOGA SANA HIVYO NDANI YA WHITE HOUSE AMELIMA BUSTANI KUBWA ,NA HUSHIRIKIANA NA WANAWE WAWILI SASHA NA MALIA ,AMEPANDA ZAIDI YA AINA 55 ZA MBOGA MWAKANI AMEPANGA KUTOA KITABU KUHUSU MAMBO YA MBOGAMBOGA JE HUU SI MFANO WA KUIGWA.
Kwa iyo??
 
Huyu wa kwetu kazi yake kubwa ni kupaka ina kwenye vidole na kutafuta fasheni za nguo ili aonekane yeye ni mke wa rais. Ndiyo tatizo la kuwa na rais mswahili na first lady mswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…