First Lady, Mama Janeth Magufuli yuko kwa TB Joshua leo

TB Joshua lini aliwahi kutabiri ushindi wa Lowassa???
we kibwengo acha kujitoa ufahamu.....Yani hufahamu kuwa huyo tapeli alimtabiria Lowasa ushindi...??

Kwa Merikani kwani nani alipigiwa kura na raia wengi kati ya Clinton na Trump?
Hivi unafahamu uchaguzi wa Marekani unavyoendeshwa..??


Endeleeni kujitoa ufahamu na hao manabii wenu uchwars
 
Mfundishwa mungu yupo.mahala pote

Mabadiliko gan wahitaji

Ukiona huon.mabadiliko.basi tambua akili timamu zinakujia

Na.kujua.kwamba hakuna MUNGU/ALLAH
Mkuu achana na kitu kinachoitwa imani.ndio maana kuna waislamu,wakatoliki,wapentecoste,walutheri etc.usibaki unamshangaa mkatoliki au mpentecoste kua ana amini kitu tofauti na ww ukamshangaa.ni imani kila mtu ana haki ya kuamini alichoamini.usimhukumu mtu
 
AMANI Nigeria hakuna ya kutosha licha ya kuwa huyo T.B JISHUA yupo huko then unataka tz AMANI tuitoe huko?
Turejee Neno " Je, kipofu aweza kumwongoza kipofu?",
NENO "Utakalo lifanyike hapa duniani kama huko mbinguni " unajua maana yake?
 
TB Joshua ni shetani kama mashetani wengine. Family ya JPM imani Yao ni ipi? Hawezekani leo unatamani msikitini, kesho kwa mzee wa upako, kesho Joshua! ! Haya mambo ya wapi?
 
Sunni.shia
 

Let us come to the knowledge of the truth
Miili yetu inahitaji nishati ili kusimamia mood na emotion nzuri. kadri tunavyopata hii nishati ndivyo tunavyokua na mood na emotion nzuri. Kwa hiyo tunakuwa na afya ya kuendesha maisha yetu sawa sawa.

Tunaipataje hii nishati
Hii nishati inapatikana kupitia mambo manne. kwanza kumuabudu Mungu, pili kusoma na kuliamini neno la Mungu, tatu kufanya mambo mema na mwisho kutafakari mambo mema.

mambo gani yanapunguza hii nishati hivyo kusababisha mood na emotion mbaya.
Kuna mambo manne yanayopunguza hii nishati, kwanza kutomuamini Mungu, pili kutoamini neno la Mungu, tatu kutenda mabaya na mwisho kutafakari mambo mabaya.

Kwa hiyo sheria za Mungu kwa ujumla wake ambazo ni chimbuko la nuru ni 1.kumuabudu
Mungu 2. kusoma, kuliamini na kulitii neno lake 3.Kutenda mema na 4. Kutafakari mema.

Kwa kuongezea zaidi Kuhusiana na mema na mabaya ni kwamba chochote kile tunachokifanya au kuwaza kinaweza kuwa kibaya au Kizuri. Kanuni ni kwamba ukifanya au kuwaza mazuri ni chimbuko la nuru na ukifanya au kuwaza mabaya ni chimbuko la giza yaani inapunguza nuru.

Nadhani nimechambua kwa stahili inayoeleweka. Kama ni msomaji wa bibilia, ndicho kitabu ninachokiamini mimi, kuna mambo mengi manabii wamezungumza pamoja na nabii Musa aliandika amri kumi na mkombozi wetu Yesu kristo ametuagiza amri kuu mbili ambazo ni kumuabudu Mungu na Upendo.
 
Ccm ni ile ile
 
Hivi wewe na akili yako unamuamini tapeli Joshua?
 
Hilary alishinda popular votes ila akashindwa kwenye electral votes. Hivyo unabii ulitimia
Kama ulitimia mbona Hillary hajawa Rais? Kwani wakati anatabiri hakujuwa system ya uchaguzi wa marekani kwamba electoral college ndo wanapiga kura ya rais?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…