klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
hawajatangaza kikosi chao! mpaka sasa waliotangaza kikosi live ni JF tu, macheer leaders wote mtalazimika kuniona siku tatu kabla mpambano wa kwanza, ni muhim sana! nataka kuhakikisha mnaelewa majukumu yenu.looo....tutajaribu kujitahidi....unaweza kuwa na makisio wachezaji wa timu namba tatu ni kina nani?