The 13
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 2,835
- 3,283
Uzuri Kalibu Kila nchi ina makombora ya Nyuklia nae ata ipata pataIli dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Uzuri Kalibu Kila nchi ina makombora ya Nyuklia nae ata ipata pataIli dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Lakini swali la msingi Kwa nni Kila nchi hasa Ulaya mashariki hawaitaki Russia?ushawahi jiuliza kuhusu hilo mkuu?Ili dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Finland ndo nani..akileta ujuaji wa Ukraine nae anachezea bomba tuIdhaa ya kiswahili ya DW inaripoti kuwa nchi jirani na Urusi wanayochangia mpaka ya Finland ipo mbioni kujiunga na Jumuiya ya lujihami ya nchi za Magharibi NATO.
Nchi hiyo imekuwa haifungamani na upande wowote Kwa miaka mingi toka ijitawale ikihofia kumkwaza jirani yake (Urusi). Kiu ya wananchi wa Finland kutaka nchi Yao ijiunge NATO imeongezeka mara dufu kufuatia uvamizi wa Russia nchini Ukraine.
Jana watuma maombi baada ya wikimbili majibu yana patikan.Russia inadhan kutishia ndo kutatua ndo kwanza inaongezaFinland bado maamuzi yao wanayafikiria mara mbili mbili kabla ya ku act.
Russia wameshawapa taarifa kuwa endapo wakifanya huo ujinga basi watajiletea wenyewe matatizo,Russia wapo tayari kuingia vitani na Finland kama watachukua huo uamuzi.
Ngoja tusubiri
View attachment 2183079
Russia anaujua mziki wa Finland vizuri sana,athubutu kufanya hivyo aone.Finland ndo nani..akileta ujuaji wa Ukraine nae anachezea bomba tu
Finland ana nini na wewe!!! 🚮 Haipo hata kwenye nchi 30 zenye nguvu kijeshi... Peleka hizo story zako kwenye vijiwe vyako vya kahawaRussia anaujua mziki wa Finland vizuri sana,athubutu kufanya hivyo aone.
Finland amewahi mpiga nani... kwenye list nchi zenye nguvu ya kijeshi ni wa ngapi? Acha mboyoyo braza. Juzi tu mlikuwa mnasema Russia hawezi kuipiga Ukraine, leo mnahamia Finland 😂🚮Russia anaujua mziki wa Finland vizuri sana,athubutu kufanya hivyo aone.
Mkuu ni Finland na Sweden.,Idhaa ya kiswahili ya DW inaripoti kuwa nchi jirani na Urusi wanayochangia mpaka ya Finland ipo mbioni kujiunga na Jumuiya ya lujihami ya nchi za Magharibi NATO.
Nchi hiyo imekuwa haifungamani na upande wowote Kwa miaka mingi toka ijitawale ikihofia kumkwaza jirani yake (Urusi). Kiu ya wananchi wa Finland kutaka nchi Yao ijiunge NATO imeongezeka mara dufu kufuatia uvamizi wa Russia nchini Ukraine.
Andoa woga hakuna Vita unayosemaDuuu!!hi dunia nazan Kuna Vita vikubwa vipo njiani vinatarajia kuja huko mbeleni
Mkuu ni hivi Putini alizionya Finland na Sweden zisije zikajaribu kujiunga na NATO na zikijaribu watakiona kama anavyokiona Ukrane siku zile za kwanza za umavimizi dhidi ya ya Ukraine na hizi nchi kweli zilirdhiria ndaro za urusi na kuja na sera ya kuendelea na sera zao kutokufungamana lakini baada hii vita ya Ukraine kuonekana madhaifu ya Urusi kwenye vita, hizi nchi sasa zimebadili mtazamo wanasema watajiunga na NATO ili Russia kama akileta ngebe apokee kibano chengine kutoka Finland na Sweden chini ya baba lao Marekani. Ndio mana tunasema zama za Putini zimekwishaFinland amewahi mpiga nani... kwenye list nchi zenye nguvu ya kijeshi ni wa ngapi? Acha mboyoyo braza. Juzi tu mlikuwa mnasema Russia hawezi kuipiga Ukraine, leo mnahamia Finland 😂🚮
Ili dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Kwani Ukraine anaemtoa kamasi Russia ipo nafasi ya ngapi kijeshi?Finland ana nini na wewe!!!Haipo hata kwenye nchi 30 zenye nguvu kijeshi... Peleka hizo story zako kwenye vijiwe vyako vya kahawa
Hivi Nagasaki na Hiroshima zilivyopigwa bomu la atomic,Tz tuliathirikaje?Sio kla mada lazma uchangie unaweza nyamaza tu sabu unaleta mzaha kwenye mantiki Nuclear si Ccm na Chadema iyo au sio wale malaya wa Sinza madhala yake ni madogo ila nuclear ni ttzo la dunia nzima
Ili dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Hamna vita wala nini. Russia na Putin wao wanaonekana kama majoka ya Kibisa tu!Duuu!!hi dunia nazan Kuna Vita vikubwa vipo njiani vinatarajia kuja huko mbeleni
Na hao wengine wakitumia moja moja dhidi yake?Ili dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Kwa hiyo hapo Russia keshashinda vitaFinland amewahi mpiga nani... kwenye list nchi zenye nguvu ya kijeshi ni wa ngapi? Acha mboyoyo braza. Juzi tu mlikuwa mnasema Russia hawezi kuipiga Ukraine, leo mnahamia Finland![]()

,anaeshinda vita anafikia hatua ya kubadili hadi Kamanda wa kuongoza mashambulizi.Urusi kama sababu ya kuivamia ukraine ni kujiunga na nato basi kama yeye ni mwanaume aivamie na Finlandha
Labda kama Kwa kujipiga mwenyewe lakini sio sehemu nyingine kujalibia maaana atabakwa mpaka ajishangaeIli dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Kwamba unajitoa ufahamu kabisa kuwa NATO hawaisaidii Ukraine.Kama ni hivyo basi kumbe Ukraine wako vizuri maana ni one man show na anamtesa Superpower wa kuchongwa mpala sasaHao mashoga nato mbona hawajaisadia ukraine