OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Atakiona Cha mtema Kuni.
Na wenzake watumie mangapi?Ili dunia iwe salama inabidi Russia atumie kombora moja tu la Nuclear
Hapo anapoagopa alishakula kichapo cha mbwa koko, in Muruto voiceUrusi kama sababu ya kuivamia ukraine ni kujiunga na nato basi kama yeye ni mwanaume aivamie na Finland
Mikwara kama mikwaraFinland bado maamuzi yao wanayafikiria mara mbili mbili kabla ya ku act.
Russia wameshawapa taarifa kuwa endapo wakifanya huo ujinga basi watajiletea wenyewe matatizo,Russia wapo tayari kuingia vitani na Finland kama watachukua huo uamuzi.
Ngoja tusubiri
View attachment 2183079
Umerogwa wewe ,unajua hao Finland walichomfanya alivyojaribu kuwavamia ?Finland bado maamuzi yao wanayafikiria mara mbili mbili kabla ya ku act.
Russia wameshawapa taarifa kuwa endapo wakifanya huo ujinga basi watajiletea wenyewe matatizo,Russia wapo tayari kuingia vitani na Finland kama watachukua huo uamuzi.
Ngoja tusubiri
View attachment 2183079
Kamwe hawatajiunga na wakijaribu kitawakuta kitu kizito.



Picha yako haifunguki, embu andika, ulikua unasemaje?
*102#Picha yako haifunguki, embu andika, ulikua unasemaje?
Kama ile ya kabla ya vita ya Putin kuwaamrisha wanajeshi wa Ukraine waweke silaha chiniMikwara kama mikwara
Huo mkwala wa mbuzi.Kamwe hawatajiunga na wakijaribu kitawakuta kitu kizito.
Huyu kuku hana lolote
Hakuna vita ni unabii feki tu hizo.Duuu!!hi dunia nazan Kuna Vita vikubwa vipo njiani vinatarajia kuja huko mbeleni
Georgia hataki habari ya Russia naye mpango ni kujiunga na Nato, Hungary tayari iko Nato japo serikali yao ya sasa inaongozwa na waziri mkuu ambaye yuko sympathetic to Russia, Bulgaria ni Nato na hana kabisa mpango na Russia.Putin atabaki na wanyonge wake Georgia, Hungary, Bulgaria sijui
Hungary ipo NATO lkn ni watiifu kwa Russia.Georgia hataki habari ya Russia naye mpango ni kujiunga na Nato, Hungary tayari iko Nato japo serikali yao ya sasa inaongozwa na waziri mkuu ambaye yuko sympathetic to Russia, Bulgaria ni Nato na hana kabisa mpango na Russia.
Tatizo ni kwamba mataifa yote huko Ulaya hayataki kuwa mshirika wa Russia kwa sababu ushirika naye hauna faida yoyote kwa nchi ila ni hasara tu.
Ziliwahi kujaribu kuwa na ushirika naye huko nyuma lakini zilichoambulia ni umasikini wa kutupwa na wakaona kwamba kama mshirika mkuu ndio maskini sasa atawasaidia na nini wakati na yeye kuna wanaoweza kumuwekea vikwazo na uchumi wake ukasambaratika. Hivyo wanaona Russia hana faida kwao.
Rudia hapo kwa Hungary... usisahau Turkey ni nato member, ila yalimpomkuta kwa kutaka kupinduliwa unajua aliyemuokoa? Ndio maana Turkey wapo Nato kimachale machale. Pale kwenye muungano wengine ni wasindikizaji tu...Georgia hataki habari ya Russia naye mpango ni kujiunga na Nato, Hungary tayari iko Nato japo serikali yao ya sasa inaongozwa na waziri mkuu ambaye yuko sympathetic to Russia, Bulgaria ni Nato na hana kabisa mpango na Russia.
Tatizo ni kwamba mataifa yote huko Ulaya hayataki kuwa mshirika wa Russia kwa sababu ushirika naye hauna faida yoyote kwa nchi ila ni hasara tu.
Ziliwahi kujaribu kuwa na ushirika naye huko nyuma lakini zilichoambulia ni umasikini wa kutupwa na wakaona kwamba kama mshirika mkuu ndio maskini sasa atawasaidia na nini wakati na yeye kuna wanaoweza kumuwekea vikwazo na uchumi wake ukasambaratika. Hivyo wanaona Russia hana faida kwao.
Sawa utakuwa mwisho wa Putin na Russia. Vipi huko ambako makombora kutoka Russia yatatua, hali itakuwaje, maisha yataendelea kama kawaida?Utakua mwisho wa Putin na Russia ya sasa