miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ndiyo alikuwa nataka kunitongosa sasa sijui alijua akianzia huko nitashoboka wewe alinitibua zaidihahah!! alikufananisha na mdhungu wakati wewe mweusi kama mpoki
ndiyo alikuwa nataka kunitongosa sasa sijui alijua akianzia huko nitashoboka wewe alinitibua zaidihahah!! alikufananisha na mdhungu wakati wewe mweusi kama mpoki
Huku mchuna kwelindiyo alikuwa nataka kunitongosa sasa sijui alijua akianzia huko nitashoboka wewe alinitibua zaidi

Duh!!! Umeniwahi. Hata mm naona kama kaamua kujidekia kiaina .Yaani sudy kaamua kuweka picha yake kiaina

hahhahahh kweli huyo ni shededeYaani sudy kaamua kuweka picha yake kiaina
hapana sababu alikuwa hana helaHuku mchuna kweli![]()
![]()
![]()
Huoni jina hilo, kwenye dp ya instahahhahahh kweli huyo ni shedede
HahahaDuh!!! Umeniwahi. Hata mm naona kama kaamua kujidekia kiaina .![]()
![]()
![]()
hahaha nilikua ata sijaangaliaHuoni jina hilo, kwenye dp ya insta


Kaka yake...Labda huyu![]()
![]()
![]()
![]()
Kaaah! kama katoka kwenye pipa la lami.Labda huyu![]()
![]()
![]()
![]()
Ndiooo!sasa ndo wamefanan

Mbona kafanan na mtu fulani kule call me jey

Kwakwel pesa ndo uchawi![]()
Pesa inamfanya hamorapa awe tozi kama dimondo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani na wewe umeleta huu uzi unaona kuwa wanafanana?
Mkiambiwa muache kupiga punyeto mtashindwa kuona vizuri mnakuwa na viburi.

Wapi miss natafutayani wewe huna tofauti na yule mkaka aliyenifananisha na mzungu
